Kipindi kile earadio ilikuwa imesimama vizuri aisee..siku hizi wanaunga unga tuIlikuwa balaaa ...nilikuwa sikosi the cruzy Aiseee.. daaah kuondoka kwao kuliniuma mnoo"" but king smash na queen fify walikuja kuwapoteza ile mbaya...sema now days east Africa wameharibu mno kumtoa Queen fify " kwenye the cruz
nAamm kweli" kabisaKipindi kile earadio ilikuwa imesimama vizuri aisee..siku hizi wanaunga unga tu
We mbonq mgumu kuelewa? manake wakipandishiwa dau waka resign ,next time usiniulize maswali ya kijinga wakati majib nime ambatanisha...niombee kiberiti Kwa Mwana hapo!So walikuwa wameshaacha kutangaza the cruise au?
Kennedy yupo vzr bana nlianza kumfahamu kuna interview alikuwa anazifanya YouTube nadhani kipindi hicho alikuwa Arusha.
Baadaye ndo akaibukia Ea radio kwny pindi la the cruise wakiwa na george bantu.
naongezea hawa clouds iliwachukua baada ya efm kufanya usajili wa kina hando na pjWaliitwa wote Kwa mkupuo, Ken,Mamy George Na Seniorita baada ya kua frustrated Kwa muda mrefu Na mutu murefu Nasser kingu, any question??!
Hahahaha..wadau wanakwambia hizo ndo swaggaTunachekecha chekecha zilizomake head line au vipi eeh, leo niko na mnyama mkali katoa thread ya kishamba au vipi eeh asisahau kuja kuosha magari kwenye garage yangu ya wanyama wakali au vipi eeh
Shida iko wapi we mwanamke?Watu wakisema wanaume wa Dar kuna la kubisha kweli, kam hali yenyewe ndio hii???? Mnatuzalilisha sisi wanaume halis jamani
Acha upuuzi, wewe mtoto wa kiume inabaki kupambanisha wanaume wenzio???? Huoni km tatizo hilo kwako?????Shida iko wapi we mwanamke?
Hayo mambo waachie wanawake, mwanaume anafikilia mambo ya kiume sio kupambanisha wanaume wenzio, wewe jamaaa punga kabisa tena halina kifichoShida iko wapi we mwanamke?
Nafaham unachokitaka, ila sorry mi nimeoaHayo mambo waachie wanawake, mwanaume anafikilia mambo ya kiume sio kupambanisha wanaume wenzio, wewe jamaaa punga kabisa tena halina kificho
Unatufanya tuonekane wanaume suruali mjini kwa wajinga wajinga kama nyieNafaham unachokitaka, ila sorry mi nimeoa
Big shout out sana kwa T.I.G.O tigo kwa kunipa mashavu na kuchekecha Two gwala gwala kama upepo vile au vipi bhana eeh.!!Aminia sana kwa Dickson Sway na Askofu tza kwa kusimamia mpango mzima,I'mma Out over here,,Teh tehTunachekecha chekecha zilizomake head line au vipi eeh, leo niko na mnyama mkali katoa thread ya kishamba au vipi eeh asisahau kuja kuosha magari kwenye garage yangu ya wanyama wakali au vipi eeh
Big shout out sana kwa T.I.G.O tigo kwa kunipa mashavu na kuchekecha Two gwala gwala kama upepo vile au vipi bhana eeh.!!Aminia sana kwa Dickson Sway na Askofu tza kwa kusimamia mpango mzima,I'mma Out over here,,Teh teh