Nani zaidi? Simba vs Yanga thread

Nani zaidi? Simba vs Yanga thread

Hiyo asilimia 51% sio ya kutoa michango yenu pale kwenye timu mkuu

Ila ni dhamani nzima ya timu na ndio maana Leo hii Mo dewji anaitumia Brand ya timu katika matangazo Yale

Yaani matangazo kwenye jezi aweke na pesa achangiwe
Unapata faida gani kudanganya?
Kuna tangazo kaliweka bure pale?
 
June 12 Saa 7:30 Mchana.
simba_na_yanga_nanizaidi-20220612-0001.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Simba hata uhudhuriaji wa washabiki wao kwenye social media wanaongoza kwa Afrika Mashariki na kati.
Na ndio wenye washabiki wengi zaidi katika Ukanda huo.
 
Utopolo wengi maskini hawana hela na asilimia kubwa ya mashabiki wa Yanga ni wazee na wanawake na inajulikana wazi wanawake na wazee hawana hela kadri siku zinavyokwenda ule mjadalq nani mwenye washabiki wengi Tanzania kama unapata majibu
Yes ni Simba maana inaongoza kwa followers katika mitandawo yote kuanzia insta you tube Facebook tweters jamii forum tiktok
Kwanini nasema Simba ndio inaongoza kwa mashabiki Tanzania jibu rahisi kama darasani unashindwa kupata 20 usitegemee kupata 100 kila paper ukifanya wee unapata mswaki 20 Failure maana yake usipambane kutafuta 100 tafuta kwanza hata 40 izoee then utafute 50 na kuendelea hapa nina maana ya kwamba kama Yanga imepitwa kila mahali na Simba katika muitikio wa mashabiki kwa jambo lolote basi hata katika mashabiki wa jumla itapitwa ref hapo juu ☝☝
Mazingira yangu ya kazi mara nakutana na wanafunzi kuanzia primary hadi secondary kuna utafiti naufanya kila mwanafunzi ninaekutana nae huwa namuuliza je ww ni shabiki wa timu gani ? Majibu Kati ya 10 Simba wanakuwa 7 au 8 na Yanga wanakuwa wawili hata juzi ile mechi Yanga walioshinda moja ile shule ilikuwa kimya mpka headmaster anauliza wanafunzi mbona hamfurahii inamaana humu wengi ni Simba inaonekana na nilichojifunza mengine mawili mashabiki wengi wa Yanga katika ile shule wamerithi kutoka kwa baba zao au mama zao ukimuuliza utasikia baba au mama ni Yanga ila kwa Simba ni tofauti utakuta timu anaipenda yeye na ameichagua la mwisho asilimia kubwa ya watoto wa kike katika ile shule karibia wote Simba Yaan katika 10 Yanga mmoja au hakuna tofauti na wanaume na Hiyo inakaribia watoto 700 kuanzia primary hadi secondary na Private school
Swali kwa utopolo wote anaesema Yanga mna watu na mashabiki wengi mnatumia njia gani?
 
Tetesi Yanga wajitoa shindano la nani zaidi
Huu nao ni ujinga, kilichowafanya waingie ni nini na press wakaja. Wakijitoa watakuwa wana wa disappoint uongozi wa Azam ambao wamewaamini na kuingia mkataba nao wa mabilioni ya pesa kwa haki ya maudhui
 
Huu nao ni ujinga, kilichowafanya waingie ni nini na press wakaja. Walijitoa watakuwa wana wa disappoint uongozi wa Azam ambao wamewaamini na kuingia mkataba nao wa mabilioni ya pesa kwa haki ya maudhui
Siamini km wanaweza kitendo cha namna hiyo yanga afrika.
 
Back
Top Bottom