aaah wazee wamekuwa waharibifu sana siku hizi......zinachaji si pole poleHata wazee wana macho. Kwi!kwi!kwi!
NN hii nyimbo mpya nafikiri ya jamie fox na neyo kama sijakosea ni remix inaitwaje? wanabana pua kwa sana...wanamsifia mashori independent
nimeusikia sana leo....
Beyonce is elegant but Alicia has natural beauty. Beyonce without makeup is plain vanilla. Alicia even without makeup will still catch your eye.
Ray c na akipunguza kunywa safari atazidi kuwa mkali zaidiUshamuona Ms. Keys bila make up?
Kati ya Ray c na Besta nani zaidi?
How about this: Mbora wenu ni yule amchaye Mwenyezi Mungu..
nimeusikia sana leo....
napenda huu wimbo uwafikie wafuatao
1:WoS
2 BJ
3 mama
4 Bikra
5 na wengine woote
Ushamuona Ms. Keys bila make up?
Kati ya Ray c na Besta nani zaidi?
Mwenyezi mungu yupi?