Nani zaidi!!!

Nani zaidi!!!

NN hii nyimbo mpya nafikiri ya jamie fox na neyo kama sijakosea ni remix inaitwaje? wanabana pua kwa sana...wanamsifia mashori independent
 
NN hii nyimbo mpya nafikiri ya jamie fox na neyo kama sijakosea ni remix inaitwaje? wanabana pua kwa sana...wanamsifia mashori independent

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=4C3xL3hMPP8]YouTube - Ne-Yo - She Got Her Own[/ame]
 
Beyonce is elegant but Alicia has natural beauty. Beyonce without makeup is plain vanilla. Alicia even without makeup will still catch your eye.

Ushamuona Ms. Keys bila make up?

Kati ya Ray c na Besta nani zaidi?
 
Ushamuona Ms. Keys bila make up?

Kati ya Ray c na Besta nani zaidi?
Ray c na akipunguza kunywa safari atazidi kuwa mkali zaidi
rayc.jpg
 
iLL go for Alicia...huyu demu huwa ananimaliza sana sema basi tu uwezo sina!!
 
nimeusikia sana leo....
napenda huu wimbo uwafikie wafuatao
1:WoS
2 BJ
3 mama
4 Bikra
5 na wengine woote

Thank you mkuu, nimeusikiliza. Nimewakumbuka Destiny's Child na Independent Woman enzi zao.

@ Nani zaidi, I go for Alicia Keys.
 
Ushamuona Ms. Keys bila make up?

Kati ya Ray c na Besta nani zaidi?

nimewaangalia tena beyonce na alicia mi nashindwa kusema,mnipe niwamege kwanza basi jamani!lol...ah!!
besta na ray c ntakwenda kwa ray c,besta havutii kabisa usoni bana!ukimalizana nae unaweza ukajuta bureeee...
 
Back
Top Bottom