Basi wenzako nguo anashindia Jumapili home, Jumatatu anaamkia nayo kazini.Hapana sio sahihi. Kwa kazi ninayofanya nguo za kazini ni special kwaajili ya kazi. Mara nyingi Hua nashindia za kawaida.
Inakua haitoi harufu ya jasho?Basi wenzako nguo anashindia Jumapili home, Jumatatu anaamkia nayo kazini.
Sema Jumamosi tunajiachia sana makazini.
Boksa kumi 7 una bleed 🩸?Nina boxer 17🤣
Hayo mengine mpaka nikahesabu huko
Mhhh....unakula na kushiba kweli mpwa wangu?Sio wote,
Mimi nimepataga mara moja tu nakumbuka
Bodaboda wasafi ni wachache sana.🤣🤣more than danger my lov
Zamani nilikuwa chizi kama wewe, lakini sasa hivi sioni muhimu tena kununuanunua kama wewe,Nani mwingine ana zoea kama la kwangu la kununua nguo kila unapoletewa na mtembezaji. Nikikaa home naona nimejaza sana nguo hata ambazo sizivai masanduku Kwa makabati Mpaka chumba kinageuka kero kinanuka nguo(mitumba hasa +dukani).
Kila nikitaka kuzigawa nashindwa nianzie wapi ama nimpe nani na hata kama nikimpa mhitaji siku moja moja awe mnywaji mwenzangu au mzoa taka basi nitaishia kumchagulia dosho kadhaa moja au mbili na sio nguo kali ya fashion zile nzuri zinazoita ingawa sizivai hata mwaka mzima.
Kugawa imekuwa ni kama nataka, sitaki maana kuna kipindi unachafua nguo zote zile code za kwendA ila bado unakuwa na mzigo wa akiba still unatoka nazo Safi kwenye mishe.
Sasa cha ajabu najua Nina nguo kibao ila bado Nikikaa bar au kitaa ikaletwa nguo naiona kazi nzuri hii lazima nilipe hela.
Hii sijui tunaita ulafi, uchoyo au roho mbaya au ubinafsi Kwa maana akili Kiukweli inataman jambo moja niwe na nguo chache ila nzuri na mambo yataenda tu fresh mfano form six zako kali 5,jeans na cardet 10 kali, t shirt 5, boxer 10 kali.
Inakuwa imeisha Sasa Mara makanzu kibao, makoti kibao, ma suruali ya mwaka juzi, mashati ya 2021. Chumba kinatia Mpaka uvivu kupumzika Kwa utuli.
Ila nasi tunajitakia.🤣🤣🤣upo kunivunja mbavu cute
😂😂😂😂😂boksa kumi unataka kujifungua?
Anajali sasa, anakwambia uchafu upo mwilini na si kwenye nguoInakua haitoi harufu ya jasho?
Sikaagi na full tank kwa kweliMhhh....unakula na kushiba kweli mpwa wangu?
Au huwa unajichukuliaga sheria mkononi?
Anyway,
Binafsi mimi naona kurundika nguo za ndani si vyema, hasa sisi wadada
Kuna mahali nilipita, boksa zimeanikwa nje kwenye kamba ila huku mbele kuna weupe weupe wa manii.Sikaagi na full tank kwa kweli
wachafu ila watamu kweRi kweRiii....Bodaboda wasafi ni wachache sana.
Akiinama hio boksa, ila jamaniiiii
Kutoka worworth ,AK au roby one ?Shati 3
Tisheti 6
Jeans 3
Cadet 3
Boxer 3
Sox pea 3
Pensi 2
Vest 3
Wengi wamejaaliwa ndio maana wadada wengi huwafuata kwa lengo la kufanya nao mapenzi.wachafu ila watamu kweRi kweRiii....
Hahahahaha..majibu yote yanaweza kuwa sawaMi siwezi sema kitu maana sijafikia hatua hiyo au huenda pesa nazo za kuwapa sina cute
Unaweza usiwe nayo, ila ukipata tu...unaenda mwenyeweee!!!Mi siwezi sema kitu maana sijafikia hatua hiyo au huenda pesa nazo za kuwapa sina cute