Nanunua nguo kila ninapokutana na machinga hata kama sizihitaji, nifanyeje kuondokana na tabia hii?

Nanunua nguo kila ninapokutana na machinga hata kama sizihitaji, nifanyeje kuondokana na tabia hii?

Unavaa uniforms kazini kila siku.... Juu hadi chini...

Bhas nyumbani unabakiwa na tracksuits trouser moja na pensi moja.. Plus t-shirt 2..moja ya local team na nyingine ya nje huko..

Na sandals za kushindia weekend bhas..

Hakuna mambo mengi
 
Sivai suruali za vitambaa wa kadeti kabisa.
Nina jeans tupu za mwaka huu 17
Za zaman zipo sijapata wakumpa.

Shati za mikono mifupi ninazo vaa ni nyingi sana sijui hata zipo ngap maana nachukua tu sinunui.. kinachosababisha niwe na shati nyingi huwa navaa shati mara moja tu kisha inafuliwa.

Boxer kwasas ninazo kama 8 hivi sina uhakika maan nafuliwa sijui idadi.

T-shirt 6

Track za mazoezi na ya kushindia nikiwa hom 3

Jezi 2

Huwa sivai pensi hivo basi sina pensi kabisa.

Sendo za kutokea pea 5
Raba 4
Open shoes Teva 2
Kanzu 2
Vest za kuvalia shati 16

Nina ndugu yangu akija mjini huwa anasomba na begi kubwa sana sina mtu mwingine wa kumpa


Huwa sivia
 
Jeans 2
Kadeti 2
Suruali kitambaa 2
Kaptura 2
Suti 2
Shati za mikono mirefu 2
Shati la mikono mifupi 2
Flana 2
Tsheti 2
Boxer 7
Kofia 2
Mikanda 2
Raba pair 2
Viatu vya ofisini pair 2
Viatu vya kawaida pair 2
Sendo pair 1
Miwani pair 2
Jacketi pair 1
Sweta pair 1
Saa ya mkononi 2
Cheni 2
Suruali ya mazoezi 1
Pensi ya mazoezi 1
Flana ya mazoezi 2
Viatu ya mazoezi 2
Soksi za kazini au Kanisani pair 5
Soksi za mazoezi pair 2
Kanzu pair 2 rangi tofauti
Mbona kobazi hata pair moja huna[emoji16][emoji16]
 
Katika watu ambao wana boksa chini ya 2, ni madereva wa bodaboda
Boda boda sijui wana nini aisee
Wewe Dada Umenifanya ñicheke Kwa Sauti😂😂😂mbona mnawaonea Sana Ma bodaboda Jamani! Nadhani haujawahi KUKUTANA na walio Smart!! Kuna Kaka Alikuwa Bodaboda wangu Nzega,Alikuwa Smart Sana utafikiri mtu wa Ofisini Yaani
 
Wakati mwingine huwa tunanunua vitu kwa watu ambao ni less privileged sio kwa sababu tunahitaji. Tunafanya hvyo ili kuwapa support na ni namna vilevile ya kugawana riziki kwa wenye uhitaji. So keep it up bro, Mungu akubariki🤔
 
Nina utaratibu wa kufua nguo kila baada ya miezi miwili na sina utaratibu wa kurudia nguo, kwa hiyo namiliki nguo nyingi sana zingine naweza vaa mara moja kwa mwaka au nisivae kabisa na zote hua ni brand new original na si mtumba NB: Kuvaa na kupendeza ni hobby yangu toka nipo mdogo
 
Jeans 2
Kadeti 2
Suruali kitambaa 2
Kaptura 2
Suti 2
Shati za mikono mirefu 2
Shati la mikono mifupi 2
Flana 2
Tsheti 2
Boxer 7
Kofia 2
Mikanda 2
Raba pair 2
Viatu vya ofisini pair 2
Viatu vya kawaida pair 2
Sendo pair 1
Miwani pair 2
Jacketi pair 1
Sweta pair 1
Saa ya mkononi 2
Cheni 2
Suruali ya mazoezi 1
Pensi ya mazoezi 1
Flana ya mazoezi 2
Viatu ya mazoezi 2
Soksi za kazini au Kanisani pair 5
Soksi za mazoezi pair 2
Kanzu pair 2 rangi tofauti
Kaptura ndio kinjunga?
 
Nani mwingine ana zoea kama la kwangu la kununua nguo kila unapoletewa na mtembezaji. Nikikaa home naona nimejaza sana nguo hata ambazo sizivai masanduku Kwa makabati Mpaka chumba kinageuka kero kinanuka nguo(mitumba hasa +dukani).

Kila nikitaka kuzigawa nashindwa nianzie wapi ama nimpe nani na hata kama nikimpa mhitaji siku moja moja awe mnywaji mwenzangu au mzoa taka basi nitaishia kumchagulia dosho kadhaa moja au mbili na sio nguo kali ya fashion zile nzuri zinazoita ingawa sizivai hata mwaka mzima.

Kugawa imekuwa ni kama nataka, sitaki maana kuna kipindi unachafua nguo zote zile code za kwendA ila bado unakuwa na mzigo wa akiba still unatoka nazo Safi kwenye mishe.

Sasa cha ajabu najua Nina nguo kibao ila bado Nikikaa bar au kitaa ikaletwa nguo naiona kazi nzuri hii lazima nilipe hela.

Hii sijui tunaita ulafi, uchoyo au roho mbaya au ubinafsi Kwa maana akili Kiukweli inataman jambo moja niwe na nguo chache ila nzuri na mambo yataenda tu fresh mfano form six zako kali 5,jeans na cardet 10 kali, t shirt 5, boxer 10 kali.

Inakuwa imeisha Sasa Mara makanzu kibao, makoti kibao, ma suruali ya mwaka juzi, mashati ya 2021. Chumba kinatia Mpaka uvivu kupumzika Kwa utuli.
Dalili Moja wapo ya kuendelea kua maskin, kununua kitu ambacho hukihitaji.
 
Back
Top Bottom