mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
Labda halali na boxer[emoji3][emoji3][emoji3]Mhhhh.... boksa ukirundika inakuwaje sasa?
Si huwa mnapataga ndoto nyevu usiku nyie?
Yale manii si yanakauka yanakua kau kau jamani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda halali na boxer[emoji3][emoji3][emoji3]Mhhhh.... boksa ukirundika inakuwaje sasa?
Si huwa mnapataga ndoto nyevu usiku nyie?
Yale manii si yanakauka yanakua kau kau jamani!!
Ndio natishia watu mtaani hapa mi TANESCOButi la tanesco 😂
HahaaahaaaIngekuwa enzi ni kijana ningekujibu hivi " ndio ya mamaako"
Sema nimekua sasa
Kumbe we mkata umemeNdio natishia watu mtaani hapa mi TANESCO
Mashuka ya kimasaiMashuka yangu matano ya kimasai
😂
Mbona kobazi hata pair moja huna[emoji16][emoji16]Jeans 2
Kadeti 2
Suruali kitambaa 2
Kaptura 2
Suti 2
Shati za mikono mirefu 2
Shati la mikono mifupi 2
Flana 2
Tsheti 2
Boxer 7
Kofia 2
Mikanda 2
Raba pair 2
Viatu vya ofisini pair 2
Viatu vya kawaida pair 2
Sendo pair 1
Miwani pair 2
Jacketi pair 1
Sweta pair 1
Saa ya mkononi 2
Cheni 2
Suruali ya mazoezi 1
Pensi ya mazoezi 1
Flana ya mazoezi 2
Viatu ya mazoezi 2
Soksi za kazini au Kanisani pair 5
Soksi za mazoezi pair 2
Kanzu pair 2 rangi tofauti
Wewe Dada Umenifanya ñicheke Kwa Sauti😂😂😂mbona mnawaonea Sana Ma bodaboda Jamani! Nadhani haujawahi KUKUTANA na walio Smart!! Kuna Kaka Alikuwa Bodaboda wangu Nzega,Alikuwa Smart Sana utafikiri mtu wa Ofisini YaaniKatika watu ambao wana boksa chini ya 2, ni madereva wa bodaboda
Boda boda sijui wana nini aisee
Aaaah wapiii.😂😂😂😂Kumbe we mkata umeme
Mbona kobazi hata pair moja huna[emoji16][emoji16]
Safi sana..no comments,maana najua ni brand ya secondBrand
Kaptura ndio kinjunga?Jeans 2
Kadeti 2
Suruali kitambaa 2
Kaptura 2
Suti 2
Shati za mikono mirefu 2
Shati la mikono mifupi 2
Flana 2
Tsheti 2
Boxer 7
Kofia 2
Mikanda 2
Raba pair 2
Viatu vya ofisini pair 2
Viatu vya kawaida pair 2
Sendo pair 1
Miwani pair 2
Jacketi pair 1
Sweta pair 1
Saa ya mkononi 2
Cheni 2
Suruali ya mazoezi 1
Pensi ya mazoezi 1
Flana ya mazoezi 2
Viatu ya mazoezi 2
Soksi za kazini au Kanisani pair 5
Soksi za mazoezi pair 2
Kanzu pair 2 rangi tofauti
Dalili Moja wapo ya kuendelea kua maskin, kununua kitu ambacho hukihitaji.Nani mwingine ana zoea kama la kwangu la kununua nguo kila unapoletewa na mtembezaji. Nikikaa home naona nimejaza sana nguo hata ambazo sizivai masanduku Kwa makabati Mpaka chumba kinageuka kero kinanuka nguo(mitumba hasa +dukani).
Kila nikitaka kuzigawa nashindwa nianzie wapi ama nimpe nani na hata kama nikimpa mhitaji siku moja moja awe mnywaji mwenzangu au mzoa taka basi nitaishia kumchagulia dosho kadhaa moja au mbili na sio nguo kali ya fashion zile nzuri zinazoita ingawa sizivai hata mwaka mzima.
Kugawa imekuwa ni kama nataka, sitaki maana kuna kipindi unachafua nguo zote zile code za kwendA ila bado unakuwa na mzigo wa akiba still unatoka nazo Safi kwenye mishe.
Sasa cha ajabu najua Nina nguo kibao ila bado Nikikaa bar au kitaa ikaletwa nguo naiona kazi nzuri hii lazima nilipe hela.
Hii sijui tunaita ulafi, uchoyo au roho mbaya au ubinafsi Kwa maana akili Kiukweli inataman jambo moja niwe na nguo chache ila nzuri na mambo yataenda tu fresh mfano form six zako kali 5,jeans na cardet 10 kali, t shirt 5, boxer 10 kali.
Inakuwa imeisha Sasa Mara makanzu kibao, makoti kibao, ma suruali ya mwaka juzi, mashati ya 2021. Chumba kinatia Mpaka uvivu kupumzika Kwa utuli.
Kaptura ndio kinjunga?