MoseKing JF-Expert Member Joined Jul 5, 2017 Posts 4,928 Reaction score 8,976 Dec 1, 2020 #21 David Mgeni said: Almost an average of 5000000mil Click to expand... Utaratibu wa kuuziana ukoje
Ncha Kali JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 15,335 Reaction score 29,114 Dec 1, 2020 #22 David Mgeni said: Almost an average of 5000000mil Click to expand... Una mizaha umekuja kuleta utani tu, unajua 5,000,000 mil ni kiasi gani? Kuniaminisha kuwa una mtaji wa 'half a billion' kwa uandishi huu ni ucheshi tu!
David Mgeni said: Almost an average of 5000000mil Click to expand... Una mizaha umekuja kuleta utani tu, unajua 5,000,000 mil ni kiasi gani? Kuniaminisha kuwa una mtaji wa 'half a billion' kwa uandishi huu ni ucheshi tu!
K KISIWAGA JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 8,022 Reaction score 16,563 Dec 1, 2020 #23 umetenga pesa ngapi mkuu kununua mawazo(upepo)
David Mgeni Senior Member Joined Aug 4, 2020 Posts 104 Reaction score 138 Dec 1, 2020 Thread starter #24 Ncha Kali said: Una mizaha umekuja kuleta utani tu, unajua 5,000,000 mil ni kiasi gani? Kuniaminisha kuwa una mtaji wa 'half a billion' kwa uandishi huu ni ucheshi tu! Click to expand... mkuu usidhani kila mtu yuko vile kama wewe ulivyo
Ncha Kali said: Una mizaha umekuja kuleta utani tu, unajua 5,000,000 mil ni kiasi gani? Kuniaminisha kuwa una mtaji wa 'half a billion' kwa uandishi huu ni ucheshi tu! Click to expand... mkuu usidhani kila mtu yuko vile kama wewe ulivyo
Ncha Kali JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 15,335 Reaction score 29,114 Dec 1, 2020 #25 David Mgeni said: mkuu usidhani kila mtu yuko vile kama wewe ulivyo Click to expand... Uko sahihi mkuu!
David Mgeni said: mkuu usidhani kila mtu yuko vile kama wewe ulivyo Click to expand... Uko sahihi mkuu!
NAWATAFUNA JF-Expert Member Joined Nov 14, 2019 Posts 13,284 Reaction score 24,047 Dec 1, 2020 #26 Mwenyemtaji na nia ya kufanya biashara ni muhimu sana kupata mchanganuo wa biashata hata kwakununua.