Nanyamba: Wilaya inayotegemea zao la Korosho, wananchi wapo hoi kiuchumi

Nanyamba: Wilaya inayotegemea zao la Korosho, wananchi wapo hoi kiuchumi

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
11,936
Reaction score
15,196
Wakuu Salam,

Nipo wilayani Nanyamba huku kusini maisha ya wananchi kiuchumi yapo hoi sana. Wilaya ya Nanyamba hutegemea korosho pekee kama zao la biashara. Hata hivyo kabla ya 2017 zao hilo liliweza kuwa mkombozi wao kiuchumi. Mwaka 2017 serikali ya CCm bila kufanya utafiti wa kutosha waliingia kwa kutumia majeshi ununuzi wa zao hilo. Hali hiyo ilipelekea kushuka kwa bei kwani wanunuzi wengi kupitia makampuni yao walijiondosha kwenye mchakato wa ununuzi wa zao la korosho.

Hivi ninavyozungumza hapa watu wameshindwa kabisa kuandaa mashamba na hawajui hatima yao.katika msimu uliopita kile ilikuwa 1500/=. Kuonesha kuwa hali za wananchi zipo duni kiasi cha kukosa chakula walilazimika kula embe kama chakula kipindi cha msimu huu wa mambo.

Wanamuomba mama Samia aliangalie zao la korosho kwa jicho pana Keanu ndiyo mkombozi wao.

Alamsiki.

Salam toka Nanyamba.
 
Wakuu Salam, Nipo wilayani Nanyamba huku kusini maisha ya wananchi kiuchumi yapo hoi sana. Wilaya ya Nanyamba hutegemea korosho pekee kama zao la biashara. Hata hivyo kabla ya 2017 zao hilo liliweza kuwa mkombozi wao kiuchumi. Mwaka 2017 serikali ya CCm bila kufanya utafiti wa kutosha waliingia kwa kutumia majeshi ununuzi wa zao hilo. Hali hiyo ilipelekea kushuka kwa bei kwani wanunuzi wengi kupitia makampuni yao walijiondosha kwenye mchakato wa ununuzi wa zao la korosho. Hivi ninavyozungumza hapa watu wameshindwa kabisa kuandaa mashamba na hawajui hatima yao.katika msimu uliopita kile ilikuwa 1500/=. Kuonesha kuwa hali za wananchi zipo duni kiasi cha kukosa chakula walilazimika kula embe kama chakula kipindi cha msimu huu wa mambo. Wanamuomba mama Samia aliangalie zao la korosho kwa jicho pana Keanu ndiyo mkombozi wao. Alamsiki. Salam toka Nanyamba.
Wakuu Salam,

Nipo wilayani Nanyamba huku kusini maisha ya wananchi kiuchumi yapo hoi sana. Wilaya ya Nanyamba hutegemea korosho pekee kama zao la biashara. Hata hivyo kabla ya 2017 zao hilo liliweza kuwa mkombozi wao kiuchumi. Mwaka 2017 serikali ya CCm bila kufanya utafiti wa kutosha waliingia kwa kutumia majeshi ununuzi wa zao hilo. Hali hiyo ilipelekea kushuka kwa bei kwani wanunuzi wengi kupitia makampuni yao walijiondosha kwenye mchakato wa ununuzi wa zao la korosho.

Hivi ninavyozungumza hapa watu wameshindwa kabisa kuandaa mashamba na hawajui hatima yao.katika msimu uliopita kile ilikuwa 1500/=. Kuonesha kuwa hali za wananchi zipo duni kiasi cha kukosa chakula walilazimika kula embe kama chakula kipindi cha msimu huu wa mambo.

Wanamuomba mama Samia aliangalie zao la korosho kwa jicho pana Keanu ndiyo mkombozi wao.

Alamsiki.

Salam toka Nanyamba.
wewe ni muongo mkubwa,

1.Mkoa wa Mtwara hauna Wilaya inayoitwa Nanyamba, ila kuna halmashauri Nanyamba ambayo ipo ndani ya wilaya ya Tandahimba.
2.Hakuna njaa ya watu kuponea embe, na embe ni tund la msimu,Je sasa wanaponea nini?

NB:Tunakusamehe bure tu kwa vile wewe ni mgeni na mpita njia ndo maana ulichoandika hakipo,wala wilaya uloitaja haipo.

shame on you!
 
Wakuu Salam,

Nipo wilayani Nanyamba huku kusini maisha ya wananchi kiuchumi yapo hoi sana. Wilaya ya Nanyamba hutegemea korosho pekee kama zao la biashara. Hata hivyo kabla ya 2017 zao hilo liliweza kuwa mkombozi wao kiuchumi. Mwaka 2017 serikali ya CCm bila kufanya utafiti wa kutosha waliingia kwa kutumia majeshi ununuzi wa zao hilo. Hali hiyo ilipelekea kushuka kwa bei kwani wanunuzi wengi kupitia makampuni yao walijiondosha kwenye mchakato wa ununuzi wa zao la korosho.

Hivi ninavyozungumza hapa watu wameshindwa kabisa kuandaa mashamba na hawajui hatima yao.katika msimu uliopita kile ilikuwa 1500/=. Kuonesha kuwa hali za wananchi zipo duni kiasi cha kukosa chakula walilazimika kula embe kama chakula kipindi cha msimu huu wa mambo.

Wanamuomba mama Samia aliangalie zao la korosho kwa jicho pana Keanu ndiyo mkombozi wao.

Alamsiki.

Salam toka Nanyamba.
Mbunge wao Nani?
 
Nanyamba kwa kikwetu ni NINAJAMBA
Wakuu Salam,

Nipo wilayani Nanyamba huku kusini maisha ya wananchi kiuchumi yapo hoi sana. Wilaya ya Nanyamba hutegemea korosho pekee kama zao la biashara. Hata hivyo kabla ya 2017 zao hilo liliweza kuwa mkombozi wao kiuchumi. Mwaka 2017 serikali ya CCm bila kufanya utafiti wa kutosha waliingia kwa kutumia majeshi ununuzi wa zao hilo. Hali hiyo ilipelekea kushuka kwa bei kwani wanunuzi wengi kupitia makampuni yao walijiondosha kwenye mchakato wa ununuzi wa zao la korosho.

Hivi ninavyozungumza hapa watu wameshindwa kabisa kuandaa mashamba na hawajui hatima yao.katika msimu uliopita kile ilikuwa 1500/=. Kuonesha kuwa hali za wananchi zipo duni kiasi cha kukosa chakula walilazimika kula embe kama chakula kipindi cha msimu huu wa mambo.

Wanamuomba mama Samia aliangalie zao la korosho kwa jicho pana Keanu ndiyo mkombozi wao.

Alamsiki.

Salam toka Nanyamba.
 
Back
Top Bottom