Mimba yake inaukubwa gani? Ameanza kukunyima wakati mimba ni kubwa kiasi gani?
mimba ina umri wa miezi mitatu ameanza tabia hiyo toka ikiwa na mwezi mmoja
Kama huitaji mtoto hiyo mbona raisi tu shauriana na mwenzio fungeni kizazi muendelee na hiyo shughuli unayoikosa.Akili zingine fikiri ungekuwa wewe unafanyiwa hivyo ungejisikiaje?mimba ina umri wa miezi mitatu ameanza tabia hiyo toka ikiwa na mwezi mmoja
ni miwezi mitatu sasa toka mke wangu apate ujauzito wa pili baada ya ule wa kwanza kuharibika na daktari kumwmbia kwmba ni tendo la ndoa ndo lililosababisha imekuwa ni shda kwangu kupata unyumba na hata akinipa mara nying kunakua kukavu hata nikimuandaa vipi yani attention yke yote ipo kwenye mimba yake na sio mimi tena sijui nifanye nini sometimes nafikiri kutafuta demu wa nje nipunguze machungu but naogopa kumsalit naombeni ushauri wenu nifanyeje?
duuu! jamani nashukuru kwa ushauri wenu wenye hisia kali ntajitahidi kadri niwezavyo kuvumilia mihemko
Duuuh! Kaka naww ushauri wako mbovu!!!? Mmmh!Vumilia tu. Hata hivyo ni ngumu kuvumilia muda wote huo maana itafika wakati ukikojoa mkojo na mbegu zinatoka. Piga punyeto au tafuta malaya japo mara 1 kwa wiki, uzuri wa malaya hachukuwi namba yako ya simu wala huchukuwi yakwake unapomaliza mmemalizana.
Mimi kaka ushauri wangu, ongea na mkeo vizuri ila pamoja na hayo mwambie atumie mbinu ya kukuchezea papuch yako mpaka umalize haja zako ila sio kwenda nje! Hilo linawezekana sana na utazoea tu!
Ndio nshaoa kaka na matatizo yanayofanana na hayo mbinu nzuri ya kuitumia ni hiyo ila siyo kutoka nje!Kaka naww ushauri wako ni mzuri kweli, mmmmh. Umeshaoa lakini?