Nanyimwa unyumba kwa sababu ya mimba

Nanyimwa unyumba kwa sababu ya mimba

Yaani wewe sijui ni mwanaume kaptula! Wenzio wanatafuta watoto, wewe ushaambiwa na dr nini tatizo. Afu unasema anawaza mimba yake! Si ubebe na wewe yako ili asikudolishie?
ni miwezi mitatu sasa toka mke wangu apate ujauzito wa pili baada ya ule wa kwanza kuharibika na daktari kumwmbia kwmba ni tendo la ndoa ndo lililosababisha imekuwa ni shda kwangu kupata unyumba na hata akinipa mara nying kunakua kukavu hata nikimuandaa vipi yani attention yke yote ipo kwenye mimba yake na sio mimi tena sijui nifanye nini sometimes nafikiri kutafuta demu wa nje nipunguze machungu but naogopa kumsalit naombeni ushauri wenu nifanyeje?
 
Nimeshaoa kaka na kama hautatumia mbinu hiyo ni lazima atoke nje! Hiyo ni njia mbadala kwa wanaojua!
 
Mkuu, mwezi wa 1 unachezewa tu papuchi na mkono mpaka unakojoa, mwezi wa 2 unachezewa tu papuchi na mkono mpaka unakojoa, mwezi wa tatu unachezewa tu ... mpaka unakojoa?! na unaiona naniihiii ile pale!, na hii pia haina tofauti na kupigishwa punyeto. Hiyo ni kudanganyana mi siwezi. Ndiyo maana kuna baadhi ya dini wanaume wameruhusiwa kuoa mpaka wanne sababu ya mambo kama haya.

Haiwezekani unalala na mwanamke kitanda kimoja mwezi mzima eti hakupi na wewe unalala tu!, hiyo ngumu. Ni kweli ni vibaya kutoka nje ya ndoa lakini inapobidi utafanyaje? cha msingi ujuwe unaiba hivyo lazima ufichame na kwa sababu kufichama ni shida sana, ndiyo huwa tunawapitia wale wa barabarani unamplipa ukimaliza mmemalizana, hachukuwi namba yako wala huchukuwi yakwake!.


Ndio nshaoa kaka na matatizo yanayofanana na hayo mbinu nzuri ya kuitumia ni hiyo ila siyo kutoka nje!
 
nimeamua kufanya mazoezi zaid na kujishughulisha sana na shughuli zangu za ofisini yaan kazi zingne nakuja kufanyia nyumban hadi night kali nalala nikiwa hoi na sitaman kwasababu yauchovu
 
nimeamua kufanya mazoezi zaid na kujishughulisha sana na shughuli zangu za ofisini yaan kazi zingne nakuja kufanyia nyumban hadi night kali nalala nikiwa hoi na sitaman kwasababu yauchovu

umefanya la maana sasa maana umu kuna magume gume walikwambia utafute nyumba ndogo. wewe ni shujaa achana na mawazo waliokuletea wajalaana. vumilia hivo hivo mkuu
 
Mkuu, mwezi wa 1 unachezewa tu papuchi na mkono mpaka unakojoa, mwezi wa 2 unachezewa tu papuchi na mkono mpaka unakojoa, mwezi wa tatu unachezewa tu ... mpaka unakojoa?! na unaiona naniihiii ile pale!, na hii pia haina tofauti na kupigishwa punyeto. Hiyo ni kudanganyana mi siwezi. Ndiyo maana kuna baadhi ya dini wanaume wameruhusiwa kuoa mpaka wanne sababu ya mambo kama haya.

Haiwezekani unalala na mwanamke kitanda kimoja mwezi mzima eti hakupi na wewe unalala tu!, hiyo ngumu. Ni kweli ni vibaya kutoka nje ya ndoa lakini inapobidi utafanyaje? cha msingi ujuwe unaiba hivyo lazima ufichame na kwa sababu kufichama ni shida sana, ndiyo huwa tunawapitia wale wa barabarani unamplipa ukimaliza mmemalizana, hachukuwi namba yako wala huchukuwi yakwake!.


kama ni ubinfsi we utakuwa umezidi na unachokifikiria ni ngono tu bila kujali hali ya mke, hv unadhani ye anakuwa hana hisia za kufanya mapenzi jaman? au ye mti? kama utakuwa umeamua kuoa basi usitake mtoto na uombe mungu akuepushe na majaribu ya aina hyo? uliapa kukaa naye kwa shida na raha ndo shida zenyewe hzo. kwa kaka aliyeomba ushauri kuwa tu mvumilivu na nisehem ya maisha, kama unampenda mkeo na mtoto mtarajiwa pia
 
KAMA NI MUISLAM ALLAH ASHAEKA WAZI CZ ANAWAJUA VIUMBE KULIKO CC TUNAVYOJIJUA,,,,....MASUALA YA KUPINGA AMRI ZAKE MADHARA YAKE NDO HAYO..,,,,OA MKE WA PILI UKIDHI MAHITAJIO YAKO....,,,,LAKIN KWA AKILI ZETU BINADAM ZILIVYO FINYU MTU ATAONA BORA AZINI AWE NA VIMADA WA NJE ATA KUMI KULIKO KUOA MKE WA NDOA WA HALALI,,....OA UKIDHI MATAMANIO YAKO CZ MKEO NI MGONJWA...BJUT KAMA WAEZA KUVUMILIA WE VUMILIA NA UWE MUADILIFU.............................:ban:
 
ni miwezi mitatu sasa toka mke wangu apate ujauzito wa pili baada ya ule wa kwanza kuharibika na daktari kumwmbia kwmba ni tendo la ndoa ndo lililosababisha imekuwa ni shda kwangu kupata unyumba na hata akinipa mara nying kunakua kukavu hata nikimuandaa vipi yani attention yke yote ipo kwenye mimba yake na sio mimi tena sijui nifanye nini sometimes nafikiri kutafuta demu wa nje nipunguze machungu but naogopa kumsalit naombeni ushauri wenu nifanyeje?


daktari gani huyo aliyewaambia tendo la ndo inaweza kuharibu mimba?

huu ni upotoshaji mkubwa sana , shame be upon her/him..... kujengea watu hofu tu, hebu achaneni na madaktari wa mtaani nendeni kwa madaktari wanaoeleweka mpatiwe ushauri nasaha muuendelee na maisha yenu kama kawaida muuepushe hayo majaribu yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
 
Tena wewe ungekuwa mume wangu, ungekoma hlf nikusikie una malaya nje, nyambafu kbs wewe, hivi unayajua matatizo ya mimba wewe au basi tu unataka kujitimizia haja zako tu, lol!
duuu! jamani nashukuru kwa
ushauri wenu wenye hisia kali ntajitahidi kadri niwezavyo kuvumilia
mihemko
 
we ukijifanya kidume utaharibu mimba tena na utamsababishia mwenzio matatizo,mvumulie mwenzio hiyo ndo maana ya ndoa khaa

Huyo Dr ninamashaka nae Mimba imeharibika kisa kafanya tendo la ndoa???
 
Tangu lini mimba ikaharibika kwa kupeana utamu!
 
Uwezekano upo hasa miezi 3 mpaka 5 ya mwanzo hasa kwa mtu mwenye risk ya miscarriage. Kuna wanawake wana uke mfupi kwahiyo akipata jamaa ana uume mrefu na mnene na anataka iingie yote hii inaweza kuleta madhara lakini ni mpaka daktari aseme.

Tangu lini mimba ikaharibika kwa kupeana utamu!
 
Inabidi ustahamili, usilazimishe. Unanshangaza!

wakatki mwingine mwanamke anapokua mjamzito kama mimba ina compications anashauriwa apete bed rest asifanye kazi ngumu wala asipate mitikisiko ili mimba isitoke sasa tendo ya ndoa si unajua hekaheka za kitandani na mitikisiko?hopeful umenisoma
 
Vumilia tu. Hata hivyo ni ngumu kuvumilia muda wote huo maana itafika wakati ukikojoa mkojo na mbegu zinatoka. Piga punyeto au tafuta malaya japo mara 1 kwa wiki, uzuri wa malaya hachukuwi namba yako ya simu wala huchukuwi yakwake unapomaliza mmemalizana.
Sure malaya ndio mpango mzima hakuna upuuzi wa nakupenda pia nakutaka pia mpenzi wee!
 
Duuuh! Kaka naww ushauri wako mbovu!!!? Mmmh!
Si mbovu hata kidogo iko proven malaya wanahatarisha afya tu si ndoa!chukua nyumba ndogo uone kama hujamwacha mkeo-watajipendekeza mpaka kwa wanao ilimradi wakuchanganye!
 
Back
Top Bottom