Naoa mwezi wa nane, naombeni ushauri

Naoa mwezi wa nane, naombeni ushauri

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Wakuu habarini...??niende kwenye mada moja Kwa moja.

Nimejaribu kupambana na haya maisha toka nimalize chuo mwaka 2018 lakini mpaka sasahivi bado sijajipata.
Lengo langu nilitaka nipate maisha kwanza ya kujitegemea ili badae nioe lakini naona umri unazidi kwenda na maisha bado magum sana kwenye huu utawala wa samia pesa haina thamani kabisa ila watu waliopo Kwenye nafasi wanapiga pesa Tu.. hongera kwao.

Mulio kwenye ndoa naombeni ushauri, hivi ni kweli mwanamke huwa anakuja na baraka kwenye ndoa...au ndo maisha yangu yatakuwa magum kuzidi wakati huu nilipo single??wengi wanasema ukioa mwanamke anakuja na baraka zake sijui ni kweli.

Karibuni kwa ushauri wakuu.
 
Wakuu habarini...??niende kwenye mada moja Kwa moja.
Nimejaribu kupambana na haya maisha toka nimalize chuo mwaka 2018 lakini mpaka sasahivi bado sijajipata.
Lengo langu nilitaka nipate maisha kwanza ya kujitegemea ili badae nioe lakini naona umri unazidi kwenda na maisha bado magum sana kwenye huu utawala wa samia pesa haina thamani kabisa ila watu waliopo Kwenye nafasi wanapiga pesa Tu.. hongera kwao.
Mulio kwenye ndoa naombeni ushauri,hivi ni kweli mwanamke huwa anakuja na baraka kwenye ndoa...au ndo maisha yangu yatakuwa magum kuzidi wakati huu nilipo single??wengi wanasema ukioa mwanamke anakuja na baraka zake sijui ni kweli.
Karibuni kwa ushauri wakuu.
Ni kweli Mkuu Mke ana Baraka hongera sana
 
Wakuu habarini...??niende kwenye mada moja Kwa moja.
Nimejaribu kupambana na haya maisha toka nimalize chuo mwaka 2018 lakini mpaka sasahivi bado sijajipata.
Lengo langu nilitaka nipate maisha kwanza ya kujitegemea ili badae nioe lakini naona umri unazidi kwenda na maisha bado magum sana kwenye huu utawala wa samia pesa haina thamani kabisa ila watu waliopo Kwenye nafasi wanapiga pesa Tu.. hongera kwao.
Mulio kwenye ndoa naombeni ushauri,hivi ni kweli mwanamke huwa anakuja na baraka kwenye ndoa...au ndo maisha yangu yatakuwa magum kuzidi wakati huu nilipo single??wengi wanasema ukioa mwanamke anakuja na baraka zake sijui ni kweli.
Karibuni kwa ushauri wakuu.
Kataa ndoa. Wanawake hawana baraka yoyote bali wao ni nuksi na full mikosi.
 
Kila la kheri mkuu.

Kama umedhamiria, fanya kweli usikatishwe tamaa na wengine.

Ndoa ina baraka zake ambapo zinategemeana mtu na mtu.

Furaha ndio msingi mkubwa katika ndoa.

Unaweza ukawa na kila kitu ndoani ila ukakosa furaha, hapo patakuwa pachungu.

Pia unaweza ukawa unamudu milo 2 ila furaha ikawa kubwa, utaishi vizuri tu.

Kwa hiyo sikiliza maoni then uchague njia ya kufuata.
 
Wakuu habarini...??niende kwenye mada moja Kwa moja.
Nimejaribu kupambana na haya maisha toka nimalize chuo mwaka 2018 lakini mpaka sasahivi bado sijajipata.
Lengo langu nilitaka nipate maisha kwanza ya kujitegemea ili badae nioe lakini naona umri unazidi kwenda na maisha bado magum sana kwenye huu utawala wa samia pesa haina thamani kabisa ila watu waliopo Kwenye nafasi wanapiga pesa Tu.. hongera kwao.
Mulio kwenye ndoa naombeni ushauri,hivi ni kweli mwanamke huwa anakuja na baraka kwenye ndoa...au ndo maisha yangu yatakuwa magum kuzidi wakati huu nilipo single??wengi wanasema ukioa mwanamke anakuja na baraka zake sijui ni kweli.
Karibuni kwa ushauri wakuu.
Tupe namba ya bi harusi tutest kama ni mwaminifu.
 
Kwanza, kabla ya kuoa hakikisha huyo mwenza wako ameridhika na hali yako na yuko tayari kuanza kujitafuta kimaisha mkiwa pamoja.

Pili, usiingie kwenye ndoa kwa malengo ya kwenda kukipata kile ambacho umekikosa kwa huo muda uliotumia kujitafuta.

Tatu, unapaswa uelewe kwamba baraka(Rizki) zipo nyingi hivyo yaweza ikawa tofauti na pesa.

Nne, hakikisha unashughuli ya kufanya walau itayokidhi malazi, makazi na chakula hata kwa kiasi kidogo.

Tano, uwe na utayari wa kukabiliana na changamoto zote utakazokutana nazo.

Mwisho, nakutakia mema kwenye safari hii.

Muhimu: Rizki siyo pesa peke yake.
 
Wakuu habarini...??niende kwenye mada moja Kwa moja.
Nimejaribu kupambana na haya maisha toka nimalize chuo mwaka 2018 lakini mpaka sasahivi bado sijajipata.
Lengo langu nilitaka nipate maisha kwanza ya kujitegemea ili badae nioe lakini naona umri unazidi kwenda na maisha bado magum sana kwenye huu utawala wa samia pesa haina thamani kabisa ila watu waliopo Kwenye nafasi wanapiga pesa Tu.. hongera kwao.
Mulio kwenye ndoa naombeni ushauri,hivi ni kweli mwanamke huwa anakuja na baraka kwenye ndoa...au ndo maisha yangu yatakuwa magum kuzidi wakati huu nilipo single??wengi wanasema ukioa mwanamke anakuja na baraka zake sijui ni kweli.
Karibuni kwa ushauri wakuu.
Oa kijana, mke ana baraka haswa akishakuzalia mtoto utaona mambo yanafunguka tu. Ila awe amekuridhia tu na hali yako sio unaingizwa mkenge na tapeli anayetafta ndoa kwa nguvu ili kujificha na uzee maana hawa ndio wengi sikuhizi unamuoa halafu anaendelea kudanga atakutia nuksi tu... Oa mwanamke mwenye mipango ili mpige hatua kimaisha.
 
Oa kijana, mke ana baraka haswa akishakuzalia mtoto utaona mambo yanafunguka tu. Ila awe amekuridhia tu na hali yako sio unaingizwa mkenge na tapeli anayetafta ndoa kwa nguvu ili kujificha na uzee maana hawa ndio wengi sikuhizi unamuoa halafu anaendelea kudanga atakutia nuksi tu... Oa mwanamke mwenye mipango ili mpige hatua kimaisha.
Kabisa mkuu ili asije kuwapa alama 3 wazee wa kataa ndoa.
 
Back
Top Bottom