Tajiri wa upendo OG
Senior Member
- Mar 15, 2020
- 171
- 237
We miso misondo umepigaje apo..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We miso misondo umepigaje apo..??
Pole sana.
Ndio utueleze wewe hizo kwene ulizojaza uzi mzima!
Wewe ni kichaaSiku chache nilipost natafuta mtu wa kunizalia
Uzi wenyewe huu
Natafuta mwanamke wa kunizalia
Basi baada yakuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.
Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam.Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia .Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.
Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.
Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae.Kwene ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na iman tofauti kwene ukoo wetu
Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. Yaan mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho
Nifanyaje??
Ni kweli Mama ana influence sana, mimi nilifata dini ya Mama japo Baba alikuwa tofauti na mpaka kesho kule kwenye imani ya Baba hunipelekiSiku chache nilipost natafuta mtu wa kunizalia
Uzi wenyewe huu
Natafuta mwanamke wa kunizalia
Basi baada yakuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.
Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam.Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia .Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.
Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.
Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae.Kwene ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na iman tofauti kwene ukoo wetu
Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. Yaan mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho
Nifanyaje??
Ni kweli Mama ana influence sana, mimi nilifata dini ya Mama japo Baba alikuwa tofauti na mpaka kesho kule kwenye imani ya Baba hunipeleki
Hivyo kuhusu hilo pigia tu mstari, lakini kwa kuwa hizi imani zililetwa tu na meli hakuna namna unless uwe unaishi naye nyumba moja itakuwa rahisi kuwalea wanao katika misingi yako
[emoji28][emoji28][emoji28]Wanaume wanaisha kwa kasi
Wewe ni kichaa
Hana mke ni wale wazee wa kulamba na kukimbia,sasa kalimbikiza pesa zinamuwasha kwaio apo ni hela inasema sio akiliSiumwambie mkeo akuzalie?
Hana mke ni wale wazee wa kulamba na kukimbia,sasa kalimbikiza pesa zinamuwasha kwaio apo ni hela inasema sio akili
Kwani kukiwa na makundi ya Israel na HAMASI kwenye kizazi chako na wewe ukaact kama biden nusu kwa nusu kunashida gani?
kwani uislamu una ubaya ganiSiku chache nilipost natafuta mtu wa kunizalia. Uzi wenyewe huu: Natafuta mwanamke wa kunizalia
Basi baada ya kuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.
Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam. Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia. Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.
Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.
Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae. Kwenye ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na imanI tofauti kwene ukoo wetu.
Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. YaanI mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho.
Nifanyaje?
Mtoto anafuata kwa baba 😅kivip ?? swala la kuangalia tamaduni za mwenza wako ndo linafanya waishe!!
hapo unaonesha uwezo wako wa kufikiri ulivo finyu
Umeoa?Siku chache nilipost natafuta mtu wa kunizalia. Uzi wenyewe huu: Natafuta mwanamke wa kunizalia
Basi baada ya kuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.
Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam. Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia. Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.
Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.
Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae. Kwenye ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na imanI tofauti kwene ukoo wetu.
Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. YaanI mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho.
Nifanyaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siumwambie mkeo akuzalie?
[emoji23][emoji23]Ndio utueleze wewe hizo kwene ulizojaza uzi mzima!