Naogopa atanizalia watoto waislam

Wewe ni kichaa
 
Ni kweli Mama ana influence sana, mimi nilifata dini ya Mama japo Baba alikuwa tofauti na mpaka kesho kule kwenye imani ya Baba hunipeleki

Hivyo kuhusu hilo pigia tu mstari, lakini kwa kuwa hizi imani zililetwa tu na meli hakuna namna unless uwe unaishi naye nyumba moja itakuwa rahisi kuwalea wanao katika misingi yako
 

haswaa[emoji108]
 
kwani uislamu una ubaya gani
 
Umeoa?
Halafu Unatafuta wa kukuzalia???? sijaelewa kwani mke hawezi zaa?

Pili,sikushauri kuzaa na muislam mtt ni WA mama,utakuja kujutia baadae!
Acha ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…