Natumaini wanajamvi ni wazimaa wa afya
Kama mada ilinavyojieleza ..Mimi ni mjasiriamali mdogo. Nimekuwa nikifanya biashara ndogo ndogo baada ya kutoka shule.
Muda mfupi uliopita niliingia kwenye matatizo na familia yangu ki ukweli nilivyurugwa kisaikolojia..hela cash iliyokuwapo mfukoni nilimaliza kuila...Nikauza kiduka ambacho nilimfungulia mke wangu nacho hela imekwisha bila kujielewa...Nilikuwa na kiduka changu binafsi nacho kimekwisha
Hapa Majuzi nimeuza pikipiki yangu basi ile hela nikaiwe Bank kwenye saving account..
Leo nimeamua kurudi kwenye bussiness lakini nasita kuchukua hela kwenye account yangu ili nirudi kibiashara..sijajua kama bado kisaikolojia sijakaa poa....au uoga wa kuishiwa
Msaada jamani please
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mada ilinavyojieleza ..Mimi ni mjasiriamali mdogo. Nimekuwa nikifanya biashara ndogo ndogo baada ya kutoka shule.
Muda mfupi uliopita niliingia kwenye matatizo na familia yangu ki ukweli nilivyurugwa kisaikolojia..hela cash iliyokuwapo mfukoni nilimaliza kuila...Nikauza kiduka ambacho nilimfungulia mke wangu nacho hela imekwisha bila kujielewa...Nilikuwa na kiduka changu binafsi nacho kimekwisha
Hapa Majuzi nimeuza pikipiki yangu basi ile hela nikaiwe Bank kwenye saving account..
Leo nimeamua kurudi kwenye bussiness lakini nasita kuchukua hela kwenye account yangu ili nirudi kibiashara..sijajua kama bado kisaikolojia sijakaa poa....au uoga wa kuishiwa
Msaada jamani please
Sent using Jamii Forums mobile app