Naogopa kuficha maradhi

Naogopa kuficha maradhi

Wisdom youlth

Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
73
Reaction score
17
Wakuu hapa kijana mwenzenu naumia,,,huwa nina kawaida ya kufanya mazoezi asubuhi na mapema so huwa nawahi kuamka,,
Basi juzi nilikua nimedamka mapema kwa ajili ya kupasha mwili, cha ajabu nikajihisi mzito sana yani mchovu nikaruka kamba na kupiga pressup basi ile nikaenda kuoga nikajishika k orodani kuna maumivu makali nikayasikia basi nikamaliza kuoga nikawa najichunguza vizuri kwenywe korodani nikawa naona ka ngozi imeungua ungua hivi,,
nikapuuzia basi jana kazini nikikaa nasikia ka majimaji yanatoka sehemu ya korodani alafu yanagandiana na kunisababishia maumivu makali,, hapa dk chache nimetoka haja ndogo navyojiangalia naona ka nilipigwa au kubinywa na kitu ka sio mdudu kuniuma,, msaada jamani.
 
Duh vp unahusisha hiyo na magonjwa ya zinaa!!
 
Wakuu nawapata hospital nitakwenda but kwa wenye uzoefu na hii kitu msaada tafadhali,,,,
 
Wakuu nawapata hospital nitakwenda but kwa wenye uzoefu na hii kitu msaada tafadhali,,,,
POLE SANA MAN.

>Hakuna uzoefu kwenye ishu siriasi namna hiyo.
Labda ingekuwa mkono ama mguu.
>watu wanaweza kukupa hofu zaidi ukashindwa kuenda hata hospitali.
 
Pole sana,wahi hospital hiyo ni idara nyeti na very sensitive.
 
kuna kicheche ulipita nae hivi karibuni?wahi hospitali sasa hivi
 
skia, hiyo kitu ni GONORRHEA kaka.
ni Ugonjwa wa zinaa nenda hospitali tu, dawa zipo tena bei rahisi matibabu wiki moja tu ukishaanza
kwa kumeza dawa unapona!
 
skia, hiyo kitu ni GONORRHEA kaka.
ni Ugonjwa wa zinaa nenda hospitali tu, dawa zipo tena bei rahisi matibabu wiki moja tu ukishaanza
kwa kumeza dawa unapona!

Inawezekana kwani jana nilipopitia hospital jamaa wakanipa dawa ya kupaka na kisha wakachukua vipimo na kuniomba niende leo saa nne GMT:2
Ila niombeeni kwa mungu kwani nahisi shemeji yenu ananichezea game chafu ngoja nikirudi home.
 
Inawezekana kwani jana nilipopitia hospital jamaa wakanipa dawa ya kupaka na kisha wakachukua vipimo na kuniomba niende leo saa nne GMT:2
Ila niombeeni kwa mungu kwani nahisi shemeji yenu ananichezea game chafu ngoja nikirudi home.

Some how ndio hivyo, kuwa mmoja wenu sio muaminifu kwenye swala la mapenzi.
Maana hiyo ni Boiling Point na ukiona inabidi upunguze speed.
 
Back
Top Bottom