Unataka tukufundishe jinsi ya kutongoza?hi jf
kuna msichana mmoja mrembo sana!ana umbo zuri,kiukweli kaumbika.nimempenda.sasa kazi iko hapa,kumwambia nampenda imekua ishu maana hua tukikutana tunaongea mambo ya kwaida tu.
Mawazo!
hi jf
kuna msichana mmoja mrembo sana!ana umbo zuri,kiukweli kaumbika.nimempenda.sasa kazi iko hapa,kumwambia nampenda imekua ishu maana hua tukikutana tunaongea mambo ya kwaida tu.
Mawazo!
Uko maeneo gani? Nionyeshe huyo dada plz then ntaku lead[/QUO
umenichekesha aiseeee!!!!! utafikiri zamani tulivyokuwa tuwape mahindi wakubwa zetu watuoneshe njia!!! kinachofuata ni muhindo wote wa kuchomwa kuliwa!!
Baba Ubaya kwenye avatar yako huyo ni mwanao?Uko maeneo gani? Nionyeshe huyo dada plz then ntaku lead[/QUO
umenichekesha aiseeee!!!!! utafikiri zamani tulivyokuwa tuwape mahindi wakubwa zetu watuoneshe njia!!! kinachofuata ni muhindo wote wa kuchomwa kuliwa!!
hi jf
kuna msichana mmoja mrembo sana!ana umbo zuri,kiukweli kaumbika.nimempenda.sasa kazi iko hapa,kumwambia nampenda imekua ishu maana hua tukikutana tunaongea mambo ya kwaida tu.
Mawazo!
Eng. huyo mtoa mada ni mtoto mdogo sana amezaliwa kipindi hiki cha simu ukimwambia mambo ya enzi zetu hatayajulia wapi? hawa ndio wanakwambia mwaka 2000 ilikuwa zamani sanaVipi rudi enzi nzetu mwandikie Barua ya mpenzi then itume POSTA!!
Baba Ubaya kwenye avatar yako huyo ni mwanao?
Ndiyo ni mtoto wangu, kwani vipi funzadume!!?
hi jf
kuna msichana mmoja mrembo sana!ana umbo zuri,kiukweli kaumbika.nimempenda.sasa kazi iko hapa,kumwambia nampenda imekua ishu maana hua tukikutana tunaongea mambo ya kwaida tu.
Mawazo!