Naogopa kwenda ku-refuel (kujaza mafuta) gari aina ya Nissan x trail... Msaada.

Naogopa kwenda ku-refuel (kujaza mafuta) gari aina ya Nissan x trail... Msaada.

cleverman

Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
37
Reaction score
31
Helo wana jf habarini za muda huu. Mtu kaniachia gari lake kwa kua tu najua kuendesha. Ila sasa nimeendesha mpaka limeishiwa mafuta. Nataka kwenda kuweka mafuta ila sijui ni petrol /aina gani? "sijawahi jaza gari yeyote mafuta "
Nisaidieni.... Nikifika kituo cha kujaza niseme nn. Jamaa siwez muuliza coz anaweza chukia na sitaki.
 
Helo wana jf habarini za muda huu. Mtu kaniachia gari lake kwa kua tu najua kuendesha. Ila sasa nimeendesha mpaka limeishiwa mafuta. Nataka kwenda kuweka mafuta ila sijui ni petrol /aina gani? "sijawahi jaza gari yeyote mafuta "
Nisaidieni.... Nikifika kituo cha kujaza niseme nn. Jamaa siwez muuliza coz anaweza chukia na sitaki.
Nenda petrol stesheni yoyote wanajua hiyo maneno
 
Are you really clever?
Sasa muulize huyo shemeji aliyekuachia gari akwambie huwa anajazia kituo gani. Then ukifika pale waambie wakupe petrol ya hela hiyo unayotaka kuweka. Its as simple as A,B,C...
Haha... Sio shemeji asee... Ni ugeni tu.... Clever? Yes. Ujinga ni kujifanya unajua wakati hujui... So it's better to ask.. even a silly qn.
 
Soma kwny kadi ya gari....angalia lazima kuna copy ya kadi
 
Helo wana jf habarini za muda huu. Mtu kaniachia gari lake kwa kua tu najua kuendesha. Ila sasa nimeendesha mpaka limeishiwa mafuta. Nataka kwenda kuweka mafuta ila sijui ni petrol /aina gani? "sijawahi jaza gari yeyote mafuta "
Nisaidieni.... Nikifika kituo cha kujaza niseme nn. Jamaa siwez muuliza coz anaweza chukia na sitaki.
KOJOLEAA NDANII LITAWAKA
 
Kwani ukimuuliza kuna kosa gani as long as unajaza kwa pesa yako, sasa jichanganye utie diesel badala ya petroli uone picha litakavyo kuwa
 
Back
Top Bottom