Naogopa kwenda ku-refuel (kujaza mafuta) gari aina ya Nissan x trail... Msaada.

Naogopa kwenda ku-refuel (kujaza mafuta) gari aina ya Nissan x trail... Msaada.

Magari yamevamiwaaa that's why foleni hazipungui
 
Kwani kuna aina ngapi ya mafuta ya petrol? Nijuavyo mimi petrol ya inayouzwa bongo Dar Es salaam haina tofauti na Bagamoyo, Morogoro , Dodoma nk. Sasa unasema aina gani ya petrol? Hapo nimeshangazwa kidogo. Ila Nissan x trail hutumia petrol because ndiyo kipando changu ninachokitumia!
 
Kwani ukimuuliza kuna kosa gani as long as unajaza kwa pesa yako, sasa jichanganye utie diesel badala ya petroli uone picha litakavyo kuwa
Huyo kakwiba gari home ili ajifunze kuendesha, hivyo hawezi uliza.
 
Helo wana jf habarini za muda huu. Mtu kaniachia gari lake kwa kua tu najua kuendesha. Ila sasa nimeendesha mpaka limeishiwa mafuta. Nataka kwenda kuweka mafuta ila sijui ni petrol /aina gani? "sijawahi jaza gari yeyote mafuta "
Nisaidieni.... Nikifika kituo cha kujaza niseme nn. Jamaa siwez muuliza coz anaweza chukia na sitaki.
Sio lazma umwambie mafuta yameisha.Unaweza kumpgia baada ya mazungumzo kidgo muulize ivi gari aina kama yako huwa zinatumia patrol au diesel?
 
Kuna kikaratasi kinabandikwa kioo cha mbele kinaonesha fuel inayotumika kwenye gari.
 
Weka Petrol. Most of them uses Petrol

You have misled him, fact that most of them use petrol, does not mean all use petrol. His car might be among those few which do not use petrol.
 
Back
Top Bottom