Naogopa kwenda kwa rafiki yangu

Naogopa kwenda kwa rafiki yangu

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,565
Reaction score
1,918
Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.

Aisee Nina rafiki yangu zaidi ya ndugu yaani tumeshibana hasa hasa hakuna Jambo linaweza tokea la kutugombanisha tushindwe kutatua.

Huyu jamaa yangu anafanya kazi mkoa mwngn Ila jirani na mkoa niliopo na nilipo Mimi ndipo familia yake ilipo yaani mkewe hawawezi kuwa pamoja sababu mkewe Naye anafanya kazi.

Bt Kila wkend jamaa anarudi huku Kwa mkewe mpk J3 alfajiri anarudi kazini.

Sa siku moja nilikuwa nimekaa na jamaa pamoja na mkewe mara mkewe akaropoka akanambia aaah huyu rafiki yako bhana siku nyingine huwa analala sebuleni yaani anapitiwa usingizi huko mpaka nimuamshe sa mwambie simpendi kweli nilimchana mshikaji japo alijitetea tetea.

Siku moja nipo na mshikaji tukawa tunapiga story jamaa akanambia unajua shemeji yako ananishangaza eti huwa ananiambia kuhusu style mbalimbali za sex ambazo huwa anazisikia kwa wenzie huko kazini Ila mi huwa namuuliza kwani tukisex haridhiki anajibu anaridhika.

Mmmh jamaa aliponambia hivyo kengele ikagonga kichwani ujue jamaa mkewe alimbikiri ye mwenyewe kwa hiyo Yule mwanamke Mambo mengi alikuwa hajui zaidi anayasikia kwa wenzie.

Nilichomshauri jamaa ni kumwambia awe mbunifu zaidi asikalili vinginevyo atagongewa mkewe siku huyo mwanamke akichepuka na akakutana na limjamaa likampga mpini wa uhakika Kwa style nzito nzito utakuwa hatari Sana Kwa mshikaji yote haya nilimchana japo jamaa ni kama alinipuuza fulani Kwa kujibu eti mradi mtu anaridhika basi sioni tatzo.

Nikamwambia kuwa makini kuna mamafia watamla mpk tigo na atanogewa kikubwa kuwa mbunifu Mzee huyo mkeo hajui Sana haya Mambo akiskia Kwa wenzie vile wanapgana mipini na mabwana zao na akicheck kwako ni kama hapti kike anazskia bs hubaki njiapanda sn na kutamani apate suluba kama anazoskia Kwa wenzie huko.

Sasa huyo shemeji yangu amekuwa Kila mara akitaka niende kwake hata Leo kaniomba niende eti nikamtembelee Ila nimekuwa nikimdanganya taenda Tu halafu navizia jamaa yangu yupo ndo naenda sasa. Siku moja usiku nilikuwa nawaaga nashangaa shemeji ananambia lini utakuja hata ulale kwangu halafu mbele ya mshikaji yangu nikamjbu takuja tu tawasiliana na mshikaji kisha takuja usijali.

Sasa wakuu huu upepo mnauonaje wazee mi nahisi kama nikienda jamaa hayupo si shetani anaweza kututembelea tukalana kimasihara hivi.

JE MY SHEM ANATAKA NIMKAZE AU WENGE LANGU TU NA TAMAA ZANGU ZA MWILI?

Au mnanishauri nn hapo siku moja nizamie nione au vp.
NB: mke WA jamaa ni msingidan hao wadada WA huko ni watamu Sana na ni chombo hasa.
 
Sio kwamba jamaa kazi hawezi ss anatafuta msaidizi na wewe ndio target
emoji2955.png
 
Mwanaume mzima unaanzaje kujadili mahusiano ya rafiki yako na mke wake? Unataka ugundue nini?

haya umeshajua rafiki yako kibamia unamsaidiaje?

unashangaza sana!
Mkuu ulishaga hama Kwa shemeji yako mume wa Dada yako? Maana ulikuwa unateseka sn kulazwa sebuleni mara shemeji yako apite kafunga taulo bolo limesimama nakumbuka Sana wakati unatusimulia.
 
Kama ukija kulala na huyo shemejio, majuto utakayokuwa kuwa nayo moyoni hutakaa yafutike, utajiuliza singida kuna wanawake wangapi vigori na wasio vigori. Urafiki ulioujenga kwa miaka mingi na gharama kubwa utaupoteza kwa kitu cha nusu saa, tena utelezi tu. Inshort sio tu usiende ila punguza kabisa mazoea na huyo shemeji yako boy
 
Kama ukija kulala na huyo shemejio, majuto utakayokuwa kuwa nayo moyoni hutakaa yafutike, utajiuliza singida kuna wanawake wangapi vigori na wasio vigori. Urafiki ulioujenga kwa miaka mingi na gharama kubwa utaupoteza kwa kitu cha nusu saa, tena utelezi tu. Inshort sio tu usiende ila punguza kabisa mazoea na huyo shemeji yako boy
Kwahilo la mazoea kiukweli najitahidi Sana sana zaidi ya Sana aisee. Kujiweka mbali Naye. Mbaya zaidi huwa anamtuhumu mumewe kwamba aliwahi tembea na beki tatu wao japo jamaa anakana kbs na Kwa jinsi nnavyomjua jamaa yangu Yule mwanamke anamsingizia Tu.
 
NB: mke WA jamaa ni msingidan hao wadada WA huko ni watamu Sana na ni chombo hasa

Hivi hao wa singida wanasifiwa hivyo mbona Mimi binafsi sijawahi ku experience hicho kisemwacho?
 
Duuuuhhh.
Ni wehu uliopitiliza kuishi mbali na mume/ mke.
Atakuta tigo ya mkewe ishavimba wajanja washaivimbisha.
 
Mkuu ulishaga hama Kwa shemeji yako mume wa Dada yako? Maana ulikuwa unateseka sn kulazwa sebuleni mara shemeji yako apite kafunga taulo bolo limesimama nakumbuka Sana wakati unatusimulia.
acha kujadili ndoa za watu dogo fwata yako! Au rafiki yako ameomba msaada kwako umsaidie kuendesha ndoa yake? Ulivyo mjinga unampangia hadi style za kumtomba wife wake! Unatisha sana
 
Ujue kinachoweza kutokea hapo ni kimoja chief, siku ukilala naye huyo shemeji yako basi kuchomoka itakuwa ni ngumu sana. Na siku ukachangia kuivunja hiyo ndoa hata kama huyo mwanamke alianza uhuni muda mrefu lakini kwa vile jamaa hafahamu hizo taarifa yeye atajua we ndo ulikuja kuivunja ndoa yake. Mambo haya mnaweza mkaja kuuwana huko mbele chief. Sasa fanya tathmini mwenyewe mkuu, upo tayari kuwa ibilisi kiasi hicho ? Ni bora utafute hata sababu ya kutokwenda tena kwa jamaa yako, au ugombane naye kabisa huyo mwanamke kuliko kuzoeana hivyo, kumbuka wanawake ni wajanja sana wakitaka kitu chao
 
Back
Top Bottom