Naogopa majibu yasio ridhisha...

nanchi

Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
66
Reaction score
7
Wadau naombeni maushauri,najua binadamu tunatofautia uwezo wa kifikra,akili,ujasiri na mambo mengi.mi nampenda manzi mmoja hivi ni dada wa miaka kama 27 ofice zetu zinatizamana,huyu dada nimefanya mpango wa kupata phon namber nimefanikiwa,sasa kuanza inshu washkaji,si unajua tena kitu umekipenda kweli?inafikia wakati nikimuona namuogopa yani nastuka kinoma.

Naombeni maujanja bila kudai ni wakike au wakiume.
 
Tatizo ni hofu ya kukataliwa ndo imekuzidi. Jipendekeze, mpigie simu na kama kawaida, jipendekeze tu. Akikukataa, siyo mwisho wa dunia.
 
mmmmh, raha ya mtongozo live, anyway hata recorded, but . . .
 
weka numb hapa nikusahdie kumjaribu kama ni mgumu au msimple
 
dah, siku hizi kutongoza tu mpaka watu waombe tuition? ukiachiwa majukumu ya kuwa kichwa cha nyumba si ndiyo utakodi mtu akusaidie?
 
Dah! Kumbe kuna wanaume wa namna hii.. Acha uoga kaka, mwanze taratibu taratibu halafu unajua sisi wadada kama tumezimika wala hatujifichagi.. Ukiona anarespond fresh ujue umeshafanikiwa.! PIGA MOYO KONDE, MWANAUME HAOGOPI KIBUTI BANA..!
 
dah, siku hizi kutongoza tu mpaka watu waombe tuition? ukiachiwa majukumu ya kuwa kichwa cha nyumba si ndiyo utakodi mtu akusaidie?

we kama mjanja weka mistari yako ya vina hapa,na sio kuponda,uwenda na wewe ni mweupe.
 
Dah! Kumbe kuna wanaume wa namna hii.. Acha uoga kaka, mwanze taratibu taratibu halafu unajua sisi wadada kama tumezimika wala hatujifichagi.. Ukiona anarespond fresh ujue umeshafanikiwa.! PIGA MOYO KONDE, MWANAUME HAOGOPI KIBUTI BANA..!

Zingatia ushauri huu.
 
Mh...Jembe, anza na sms za utundu, wish gud night kwa sana(daily kabla hajalala), asubuhi mjulie hali even kwa sms muulize ameamkaje? mkishazoweana kidogo omba kukutane nae sehemu kwa ajili hata ya kinwaji then unafunguka!
 
Hakuna formula ya kutongoza mkuu , just be yourself , kama kweli umempenda na ana hisia na wewe , ataingia king tu...
 
Bac mi huwa naenjoy kweli nkitongozwa na mtu wa aina yako lol........ kaza moyo kaka, jipange.
 
kwanza ni udhaifu mkubwa kutumia phone kumtongoza kwa mwanamke mwerevu atakupunguzia marks,do it face to face.pili kutongoza hakuna formula it depends on circumstances,utakavyomkuta ndo utaanza hivyohivyo
 
Ikiwa ndio mara yako ya kwanza ntakuelewa,kwani unataka kula halafu uende zako au ndio nakuoa kabisa Kama mwenzio hajawahi?
 
Mpigie simu alaf ujieleze hawezi kukutukana maana hajui ana ongea na nani!

Usije ukategemea majibu ya kuridhisha siku ya kwanza, hata kutukwanwa ina wezekana lakini unatakiwa upate chance ya kumueleza kwanza na utapata pa kuendelea!

Akikutukana unatulia kwanza alaf siku ya pili una mtumia sms ya kumwambia unaomba msamaha kwa usumbufu. Najua kuanzia hapo utapata muelekeo.

Just try!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…