Dah! Kumbe kuna wanaume wa namna hii.. Acha uoga kaka, mwanze taratibu taratibu halafu unajua sisi wadada kama tumezimika wala hatujifichagi.. Ukiona anarespond fresh ujue umeshafanikiwa.! PIGA MOYO KONDE, MWANAUME HAOGOPI KIBUTI BANA..!
Ukifika karibu yake unamwambia..nakupenda halafu unakimbia
Ukifika karibu yake unamwambia..nakupenda halafu unakimbia