ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Habari za mihangaiko wakuu.
Mimi naishi Ubungo kila siku napita njia ile ya Riverside to Makoka. Sasa haiwezi kupita siku tatu bila kuokota hela, mara nyingi ni 200 na 500. Kwa mfano leo asubuhi nimeokota 200 mara mbili halafu maeneo tofauti, jana pia nimeokota 500 japokuwa jana nilimuona mdada aliyeiangusha ila nikaiokota kimyakimya.
Kifupi kuokota hela kwangu ni matukio ya kawaida sana, sasa najiuliza hii bahati inatokana na nini? Au kwa sababu nazurura sana na ni kweli me huwa natembea sana sometime sipand daladala naamua kufanya mazoezi njian nakutana na mazali kama hayo kuokota hela.yaani hadi raha
Kwenye kucha karibu vidole vyote nina vile vialama vya madoa meupe
Wana jf wenzangu nipeni maoni,pongez au ushauri
Mimi naishi Ubungo kila siku napita njia ile ya Riverside to Makoka. Sasa haiwezi kupita siku tatu bila kuokota hela, mara nyingi ni 200 na 500. Kwa mfano leo asubuhi nimeokota 200 mara mbili halafu maeneo tofauti, jana pia nimeokota 500 japokuwa jana nilimuona mdada aliyeiangusha ila nikaiokota kimyakimya.
Kifupi kuokota hela kwangu ni matukio ya kawaida sana, sasa najiuliza hii bahati inatokana na nini? Au kwa sababu nazurura sana na ni kweli me huwa natembea sana sometime sipand daladala naamua kufanya mazoezi njian nakutana na mazali kama hayo kuokota hela.yaani hadi raha
Kwenye kucha karibu vidole vyote nina vile vialama vya madoa meupe
Wana jf wenzangu nipeni maoni,pongez au ushauri