1-ukitohoa katika lugha sio lazima uchukue / utamke neno kama lilivyo katika lugha hiyo.
2- kiarabu kina sifa za kike na kiume , kina umoja uwili na wingi ( lugha nyingi zina umoja na wingi tu,hazina uwili) katika kiswahili hakuna sifa za kike wa kuime ndio maana hatutumii bint adam