naomaba ufafanuzi wa huu msamiat......

naomaba ufafanuzi wa huu msamiat......

Smarty

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
776
Reaction score
428
wengi tunajua kuwa manaeno mengi ya kiswahili yametokana na lugha ya kiarabu kwa mfano neno BINADAMU limetokana na neno BIN-ADAM. ikiwa na maana ya mtoto wa adam wa kiume... sasa swali langu ni hivi kwa nini na wanawake nao wanaitwa BIN ADAMU?? kwa nini wasiitwe BINT ADAMU??
 
1-ukitohoa katika lugha sio lazima uchukue / utamke neno kama lilivyo katika lugha hiyo.

2- kiarabu kina sifa za kike na kiume , kina umoja uwili na wingi ( lugha nyingi zina umoja na wingi tu,hazina uwili) katika kiswahili hakuna sifa za kike wa kuime ndio maana hatutumii bint adam
 
Back
Top Bottom