NAOMBA ALIYE KARIBU KENYATA UNIVERSITY ANISAIDIE

NAOMBA ALIYE KARIBU KENYATA UNIVERSITY ANISAIDIE

Admin1988

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
1,603
Reaction score
1,848
habar wakuu,
nataka kupata admission kusoma MASTERS
naomba mawasiliano na mtu am LECTURER wa hapo ili anisaidie....!!

MAWASILIANO YANGU
+255786 44 66 50

hata kwa whatApp call & sms ipo hiyo namba.
ASANTE
 
habar wakuu,
nataka kupata admission kusoma mastera.
naomba mawasiliano na mtu am LECTURER wa hapo ili anisaidie....!!

MAWASILIANO YANGU
+255786 44 66 50

hata kwa whatApp call & sms ipo hiyo namba.
ASANTE
Wacha mchezo wewe. Kama unataka kusoma masters mbona usiende kwenye website ya Kenyatta University kisha uapply kwamba unataka kusoma course fulani. Au hata uende kwenye website yao uchukue email ya admissions office na kuwaandikia email na kusema kwamba unataka kusoma. Halafu masomo ya masters sio mambo ya kujuana eti nikupe number ya simu ya lecturer. La, hasha, kama huna bachelors degree basi hata nikikupa number ya lecturer huwezi kusaidika. Halafu degree yenyewe kama umeifanya uwe umepita vizuri yaani uwe na second class upper.
 
habar wakuu,
nataka kupata admission kusoma mastera.
naomba mawasiliano na mtu am LECTURER wa hapo ili anisaidie....!!

MAWASILIANO YANGU
+255786 44 66 50

hata kwa whatApp call & sms ipo hiyo namba.
ASANTE
Wasiliana na MK254 hope atakusaidia
 
Wacha mchezo wewe. Kama unataka kusoma masters mbona usiende kwenye website ya Kenyatta University kisha uapply kwamba unataka kusoma course fulani. Au hata uende kwenye website yao uchukue email ya admissions office na kuwaandikia email na kusema kwamba unataka kusoma. Halafu masomo ya masters sio mambo ya kujuana eti nikupe number ya simu ya lecturer. La, hasha, kama huna bachelors degree basi hata nikikupa number ya lecturer huwezi kusaidika. Halafu degree yenyewe kama umeifanya uwe umepita vizuri yaani uwe na second class upper.
Tatizo ujuaji mwingi! Shule si sawa na kutafuta viatu vya mitumba! Asante kwa kumwelimsha
 
master hii apa mkuuuu...karibuuu
572.jpg
 
Si useme tu Upo Tz Mzee. Unakula mema ya nchi na familia ulishatelekeza huko kiambu,
Hutamani kabisa kurudi misri [emoji3]

Hehehehe Huwa sijaganda sehemu moja kama unvyohangaika hapo Tandale
Nimetanua wigo langu, kwa sasa niko Sudan Kusini, Wakenya huku wamewekeza kwa kwenda mbele, tunahusika kwenye ujenzi wa hii nchi ya Wasudan bati kwa bati, tofali kwa tofali.
Ujasiri wa Kikenya na elimu ya Kikenya hadi raha....

Wakenya huku wamepewa kandarasi kwenye ujenzi wa kila aina ya miundo mbinu, barabara, majengo n.k.
Nawarai Wakenya wenzangu tuepuke sana chuki za Kitanzania, tusiwe tunawabagua wageni wowote wanapokua kwetu, maana haujui itakavyokua kwa ndugu zako Wakenya wanapokua kwenye nchi zao.
Kwa mfano hawa Wasudan hapa Juba wanasifia sana namna huwa tunawapokea kwetu Kenya, ila wana hasira sana na Waafrika weusi wa Afrika Kusini, wengi wanaapa siku wakikutana nao hapa watawamaliza moja kwa moja, maana wametendwa unyama sana kila wakienda Afrika Kusini.
 
Hehehehe Huwa sijaganda sehemu moja kama unvyohangaika hapo Tandale
Nimetanua wigo langu, kwa sasa niko Sudan Kusini, Wakenya huku wamewekeza kwa kwenda mbele, tunahusika kwenye ujenzi wa hii nchi ya Wasudan bati kwa bati, tofali kwa tofali.
Ujasiri wa Kikenya na elimu ya Kikenya hadi raha....

Wakenya huku wamepewa kandarasi kwenye ujenzi wa kila aina ya miundo mbinu, barabara, majengo n.k.
Nawarai Wakenya wenzangu tuepuke sana chuki za Kitanzania, tusiwe tunawabagua wageni wowote wanapokua kwetu, maana haujui itakavyokua kwa ndugu zako Wakenya wanapokua kwenye nchi zao.
Kwa mfano hawa Wasudan hapa Juba wanasifia sana namna huwa tunawapokea kwetu Kenya, ila wana hasira sana na Waafrika weusi wa Afrika Kusini, wengi wanaapa siku wakikutana nao hapa watawamaliza moja kwa moja, maana wametendwa unyama sana kila wakienda Afrika Kusini.
Hiki kiswahili tu kinaonesha maisha umeyaanzia Tanzania.By the way Mimi nina soma Maseno university
 
habar wakuu,
nataka kupata admission kusoma mastera.
naomba mawasiliano na mtu am LECTURER wa hapo ili anisaidie....!!

MAWASILIANO YANGU
+255786 44 66 50

hata kwa whatApp call & sms ipo hiyo namba.
ASANTE
kwani hujui website ya Kenyatta University? application hufanywa online mzee!
 
Kwa sasa sipo Kenya, ila ninaweza kumuunganisha na washkaji zangu huko, hata hivyo ameshauriwa vizuri hapo juu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]we muhuni nilijua umekuja bongo baada ya kufariki magufuli ndiyo maana umekuwa mpole siku hizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona umemuacha komora096 kwa tabu za slum si unge kuja naye ,bila kumsahau Tony254
 
Back
Top Bottom