Da kumbe na wewe umejua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama mimi huyo jamaa awezi kukaa kenya .....kilicho muondoa tz ni magufuli tu ...ndiyo maana siku hizi kawa mpole hapa jfSi useme tu Upo Tz Mzee. Unakula mema ya nchi na familia ulishatelekeza huko kiambu,
Hutamani kabisa kurudi misri [emoji3]
Naona umepost graduation booklet yako. Congratulations kwa kugraduate from Kenyatta university.Na wadanganyika mjifunze kizungu. Its of paramount importance kujua kizungu. Kujua kizungu inawezesha wadanganyika kusomea vyuo vikuu vya Kenya. View attachment 1963575
Thank you TonyNaona umepost graduation booklet yako. Congratulations kwa kugraduate from Kenyatta university.
niasidie sasa namimi nisomee hapo kuNa wadanganyika mjifunze kizungu. Its of paramount importance kujua kizungu. Kujua kizungu inawezesha wadanganyika kusomea vyuo vikuu vya Kenya. View attachment 1963575
Ndio kozi gani hiyokusoma mastera