Wanazengo kichwa cha habari kimejieleza
Natanguliza shukrani kwa atakenipa ABC kwenye hilo. Mi ndio kwanza naanza hicho kilimo nataka nitumie kumwagilia kwa matone " drip irrig."
1. Kitalu kama kuna dawa na mbolea
2 baada ya kuhamishia shambani toka kwenye kitalu nianze ma dawa zip kuua wadudu n.k
3. Jinsi ya kuvuna na kutunza mzigo ili usafiri kwenda sokoni
4. Na mengineyo kama yapo.
nawasilisha
Natanguliza shukrani kwa atakenipa ABC kwenye hilo. Mi ndio kwanza naanza hicho kilimo nataka nitumie kumwagilia kwa matone " drip irrig."
1. Kitalu kama kuna dawa na mbolea
2 baada ya kuhamishia shambani toka kwenye kitalu nianze ma dawa zip kuua wadudu n.k
3. Jinsi ya kuvuna na kutunza mzigo ili usafiri kwenda sokoni
4. Na mengineyo kama yapo.
nawasilisha