Naomba bei elekezi ya iPhone 15 plus 128GB

Naomba bei elekezi ya iPhone 15 plus 128GB

Kilimbatzz

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2023
Posts
9,134
Reaction score
14,593
Baada ya kutumia Samsung muda mrefu nimewiwa kujaribu na iPhone.
Ningependa kuanzia na iPhone 15 Plus yenye GB 128

Nataka nioneni nini kinachofanya wadada wachizike na hizi simu,nataka nione ni nini kinachowapa mvuto wanaume wanaotumia simu hizi hadi kuweza kuwang'oa kirahisi wadada wa kibongo

Nikishagundua kilicho nyuma ya mtanziko huu narudi zangu kuendelea na bebi wangu Samsung S20 Ultra

Natanguliza shukrani
 
Sasa Mwalimu hiyo simu mbona inazidi mshahara wako wa mwaka mzima?
NI kweli
Ila hiyo Hela mbona ndogo sana mkuu,nikiuza gunia zangu za mahindi 20 tayari nimeshaipata mbona
Nimeyatunza kule Meatu Simiyu

Kwa sasa kule gunia moja lipo kati ya 110k Hadi 120k,nikiuza magunia 30 tayari nishainunua hiyo simu
 
IMG_0789.jpeg
 
Back
Top Bottom