Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ndo kazi ya iPhone hiyo mkuuunanujua kwa ajili ya mademu mkuu
hingera sana lakni
Ahhaaa,nipe bei elekezi basiiphone unyama sana boss
million moja na nusu used makumbusho hapa tunakupa na waranty ya mwaka mmojaAhhaaa,nipe bei elekezi basi
Used tena!??million moja na nusu used makumbusho hapa tunakupa na waranty ya mwaka mmoja
NI kweliSasa Mwalimu hiyo simu mbona inazidi mshahara wako wa mwaka mzima?
Hao watoto wa K'nyama tayari wanazo used mkuu.Used tena!??
Wakati hata wiki haijaisha tangu imetoka!!!
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Aahaaaa,poa mkuu nitakuja hapo knyamaHao watoto wa K'nyama tayari wanazo used mkuu.