Kwa kweli wadogo zetu tuwaeleze ukweli ili wasiweke matarijio makubwa sana yanayoweza kupelekea wakajutiana na kujilaumu sana katika na Machaguo yao ya siku zilizopita endapo Maisha baada ya Chuo yataenda kinyume na matarajio yaoWaambieni vijana hawa huku mtaani hakuna cha mwandisi, mwalimu, daktari ..wote bila bila hivyo wapunguze nyodo mana wanajikuta wanasoma masomo magumu eti wanadanganyana yana ajira[emoji2][emoji2][emoji2]
Wakati kuna waandisi wazoefu hapa jf wanatafuta ajira. ..
Maisha yamebadilika sana..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa mambo yamebadilika sana.Waambieni vijana hawa huku mtaani hakuna cha mwandisi, mwalimu, daktari ..wote bila bila hivyo wapunguze nyodo mana wanajikuta wanasoma masomo magumu eti wanadanganyana yana ajira[emoji2][emoji2][emoji2]
Wakati kuna waandisi wazoefu hapa jf wanatafuta ajira. ..
Maisha yamebadilika sana..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hapa ndugu umetoa mawazo mazuri sana na yenye kusaidia na wachangiaji wengine kila la kheri kwako.Mkuu kwa uzoefu wako unaweza kuomba hata nje ya bongo. Jaribu nchi za mashariki ya kati, hata ulaya ..utafanikiwa tu ..usiangalie sana hapa nyumbani..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
mwezi wa 6 mwaka huuWakuu Kipande cha Isaka - Mwanza Kazi inaanza Lini
Ok kaka inshalaah utapata huko mloka wanasemajeNimeshafanya Mkuu online na Physical nilienda Mloka
ujayajua maisha ndio maana unaogea polojo wewe, ungekuwa karibu yangu ningekulamba kibao ms**ge weweMhandisi mwenye uzoefu hawezi kuja kuomba connection kwa strangers humi JF
Ngoja tuwe wapole tu hakika tutapatawalisema tusubiri watawasiliana nasi watakapoanza kuajiri
msamehe tu Mkuu, binadamu tupo wa aina tofauti tofauti, hafahamu teknolojia inaunganisha watu katika namna mbalimbali, hajawahi kusoma shuhuda za watu kusaidiwa kupata ajira, biashara hata mahusiano kupitia mtandao huuujayajua maisha ndio maana unaogea polojo wewe, ungekuwa karibu yangu ningekulamba kibao ms**ge wewe
ujayajua maisha ndio maana unaogea polojo wewe, ungekuwa karibu yangu ningekulamba kibao ms**ge wewe
hapo sawa, yaani nilisha anza kukasirika sana maana hapa kwenyewe mimi sina kazi afu nikaona kama una msanifu ivi.Hahahah wabongo maisha yametuchanganya kweli. Nilimaanisha kuwa, mhandisi mwenye uzoefu hatafuti kazi bali kazi zinamtafuta. Huyo atakuwa graduate, na ukienda ccecc au crje kama Cv iko vizuri hawakuachi labda udai mshahara mkubwa
msamehe tu Mkuu, binadamu tupo wa aina tofauti tofauti, hafahamu teknolojia inaunganisha watu katika namna mbalimbali, hajawahi kusoma shuhuda za watu kusaidiwa kupata ajira, biashara hata mahusiano kupitia mtandao huu
Sawa Mkuu ngoja nipeleke maombi CCECCHahahah wabongo maisha yametuchanganya kweli. Nilimaanisha kuwa, mhandisi mwenye uzoefu hatafuti kazi bali kazi zinamtafuta. Huyo atakuwa graduate, na ukienda ccecc au crje kama Cv iko vizuri hawakuachi labda udai mshahara mkubwa
Naomba unisaidie MkuuSeriously engineer una uzoefu na umekutana na engineers kibao huko site na ofisini unakuja kuomba connection huku?