Jamaa kafanya vizur tena kisomi ukifatilia nchi zingine huo ndo mfumo wanaofanya.........manake Div 0 yaan mtoto alipata 0 kwa kila somo kitu ambacho c kwel na hakiwezekan miaka minne shule halafu motto asiambulie ata moja huo ni uongo na kuidhalilisha nchi iyonekane mambumbu......................................................................................