Naomba CV ya Prof. Sifuri Mchome, nna Mashaka!!!!!!!!!

Naomba CV ya Prof. Sifuri Mchome, nna Mashaka!!!!!!!!!

Kuiga ni kitu chema ila kila kitu tuige kweli naamini hata kama ni usomi tunakoelekea siyo, kitafutwa ni kutoonekana zero wale doners wetu tu
 
Jamani wadau,naombeni kama kuna mtu anajua au ana namba za Mh.RAIS na Mh.Mizengo pinda anitumie plz ni muhimu nahtaji kuongea nao.
 
Jamaa kafanya vizur tena kisomi ukifatilia nchi zingine huo ndo mfumo wanaofanya.........manake Div 0 yaan mtoto alipata 0 kwa kila somo kitu ambacho c kwel na hakiwezekan miaka minne shule halafu motto asiambulie ata moja huo ni uongo na kuidhalilisha nchi iyonekane mambumbu......................................................................................

Your right let them make noise! Na wengine wanapata O sio kwamba hawaji kitu kabisa
 
Tatizo la hii nchi kupeana vyeo kwa kulipana fadhira au undugu ndio maana kila cku hii wizara hina boronga. Kuna watu wanasifa za kuongoza lakini hawapewi nafasi.
 
Back
Top Bottom