Jagood
JF-Expert Member
- Aug 15, 2016
- 2,141
- 2,388
Anopheles anaaminika ndie mbu jike anaeweza sambaza vimelea vya malaria, nataka kujua je inakuaje mtu anaishi mbali na makazi ya watu/porini lakin bado atapata malaria ili hali hakuna watu mwingine aishie huko na ugonjwa wa malaria
Je mbu anauwezo wa kusafiri umbali wa kutoka maeneo ya makazi ya watu hadi porini nakuambukiza mtu aishie huko.
Je mbu anauwezo wa kusafiri umbali wa kutoka maeneo ya makazi ya watu hadi porini nakuambukiza mtu aishie huko.