Naomba fursa ya kuonana na Pascal Mayala

Naomba fursa ya kuonana na Pascal Mayala

Elius W Ndabila

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
324
Reaction score
649
Ndugu yangu Pascal wa jf ninaomba nafasi ya kuonana na wewe. Nilianza kujifunza kuandika makala mwaka 2014 baada ya kuwa msomaji wa muda mrefu humu. Lakini nimekuwa impressed sana na uchambuzi wa Pascal ambaye ninatamani siku moja nionane naye ili niweze kumuuliza maswali kadhaa nami niweze kubobea kwenye tasinia hii ya kichambuzi.

Nitashukuru kama moderate utanisaidia kuutag ujumbe huu kwa Pascal.

Ndiimi
Elius Ndabila
 
Nenda nyumbani kwake maana toka kakampuni kake kanyimwe tenda na CCM ya kutangaza kwenye sabasaba na nanenane,amekuwa mlamba viatu vya wanaume wenzie.
 
Hata mimi namtafuta huyu jamaa, ukimpata nishtue labda tunaweza kunywa gahawa wote kwa pamoja.
 
Ndugu yangu Pascal wa jf ninaomba nafasi ya kuonana na wewe. Nilianza kujifunza kuandika makala mwaka 2014 baada ya kuwa msomaji wa muda mrefu humu. Lakini nimekuwa impressed sana na uchambuzi wa Pascal ambaye ninatamani siku moja nionane naye ili niweze kumuuliza maswali kadhaa nami niweze kubobea kwenye tasinia hii ya kichambuzi.

Nitashukuru kama moderate utanisaidia kuutag ujumbe huu kwa Pascal.

Ndiimi
Elius Ndabila
Mkuu Elius W Ndabila , kwanza pole sana!, huwezi amini huu uzi ndio nimekutana nao leo, next time ukimtafuta mtu humu mtag.

Tutapanga kwa text 0754 270403.
Karibu.
P
 
Back
Top Bottom