Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,715
- 2,385
Weka vitu vifuatavyo(vyote ni lazima)Naomba elfu 80 jamani nimekwama pleeeeease.
Nitarudisha 85 baada ya wiki
Acha dharauWeka vitu vifuatavyo(vyote ni lazima)
1. Cheti cha kula kiapo kutoka Kanisani/Msikitini
2. Cheti cha kuzaliwa
3. Barua ya uongozi kata/ kijiji
4. Kitambulisho cha kupigia kura
5. Leseni au kitambulisho cha uraia
6. Vyeti vya Elimu
7. Passport size 3
8. Pesa ya maombi shilingi 9,000/=
Fanya faster nikutumie pesa mda huu
poa njoo pm tuongeeHR 666, ww ndugu yangu njoo nikupe ila uweke dhamana yenye thamani ya hiyo pesa
simu wanakopesha elfu tano tuKopa kwenye mitandao ya simu wanakopesha siku hzi kama unatumia huduma zao za kutuma na kupokea simu vyuma vimekaza hapa utatoka bilabila
Au kama una account CRDB kuna mtu alisema wanakopesha kupitia simu bila document yoyote
Mm nije wakati ww ndo mweny shidapoa njoo pm tuongee
Nimekupm tayariMm nije wakati ww ndo mweny shida
Airtel wanaanza kukopesha baada ya muda gani?Haya mambo ukiwa na airtel line hupati shida unakopa tu kwenye timiza
kubeti sina bahati nayo kila nikiweka naliwaJaribu kubeti kwa 500 utapata hadi 100000
Tala ni wezi asijaribu kiwango cha kwanza ni elfu 10 cha pili elfu 20 cha tatu elfu 30 hapo zote unarudisha na riba..halaf hapo ndo mwisho ukitaka kukopa.zaidi wanakupa hadithi za bunuasi inakua imetoka hioJaribu huduma za mitandao unazotumia mfano tigo nivushe na M-pawa kwa voda, pia unaweza download app ya Tala na kuomba mkopo.
Hizii kwel dharau ...haya ndo majibu tunaykutana nayo kwa watu wanaoomba mikopoWeka vitu vifuatavyo(vyote ni lazima)
1. Cheti cha kula kiapo kutoka Kanisani/Msikitini
2. Cheti cha kuzaliwa
3. Barua ya uongozi kata/ kijiji
4. Kitambulisho cha kupigia kura
5. Leseni au kitambulisho cha uraia
6. Vyeti vya Elimu
7. Passport size 3
8. Pesa ya maombi shilingi 9,000/=
Fanya faster nikutumie pesa mda huu
Una uhakika na unachokisema???? Mimi the first time tu naanza walinipa 20,000 iweje useme kiwango cha kwnz ni 10k????Tala ni wezi asijaribu kiwango cha kwanza ni elfu 10 cha pili elfu 20 cha tatu elfu 30 hapo zote unarudisha na riba..halaf hapo ndo mwisho ukitaka kukopa.zaidi wanakupa hadithi za bunuasi inakua imetoka hio