Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Mmmhh! Wajanja hao wanataka email yako pamoja na account yako ya facebook na kitambulisho cha kupigia kulaMfano akipata hiyo ya Tala 20k, kama ana line za voda na tigo nako akapiga kila moja 20k atakuwa na jumla ya 60k