Lameckjr
Senior Member
- Sep 26, 2020
- 133
- 247
Habari wapendwa!!
Natumaini mko salama kabisa, Ndugu zangu mimi nimeitwa Dodoma kwa ajili ya usaili/interview lakini sasa changamoto ni Makazi maana kifedha niko vibaya sana nauli yenyewe Naunga unga tu, ili nifike nijaribu Bahati Yangu, hivyo naomba mwenye msaada wa kunihifadhi ili nikifika nifanye interview baada ya hapo ,nikae kae nitafute nauli ya kunirudisha ,Mimi ni kijana (Mwanaume) Mwenye miaka 25 dini Yangu Mkristo (msabatho)
No ya simu 0768464901
Mungu awabariki sana
Natumaini mko salama kabisa, Ndugu zangu mimi nimeitwa Dodoma kwa ajili ya usaili/interview lakini sasa changamoto ni Makazi maana kifedha niko vibaya sana nauli yenyewe Naunga unga tu, ili nifike nijaribu Bahati Yangu, hivyo naomba mwenye msaada wa kunihifadhi ili nikifika nifanye interview baada ya hapo ,nikae kae nitafute nauli ya kunirudisha ,Mimi ni kijana (Mwanaume) Mwenye miaka 25 dini Yangu Mkristo (msabatho)
No ya simu 0768464901
Mungu awabariki sana