Naomba hifadhi Dodoma


Babu Tale, Mwana FA, Zungu, Msukuma, bashiri, mpole mpole na wanachama mboga mboga wakimtelekeza huyu mshirika wao itakuwa si sawa.

Wajameni kutoa ni moyo!
 
Bimkubwa hata asafiri mkoa mmoja lazima aende na hizo docs😀
 
Umeona sasa hata usivyojielewa, unasali vili sehemu ambapo ushirika wako haupo!? Na umepokelewa vipi bila barua ya uhamisho!? msidanganye watu. Kanisa la kisabato sio kikundi! Bali ni taasisi!
Iko hivi..nimezaliwa sabato nikaolewa rc ...nikashindwa kusali rc kutokana na mambo yao kuwa tifauti kbs na sabato so kiuhalisia nilitengwa na kanisa kwasababu nimeolewa rc . Nimeamua mwenyewe kurudi sabato hvyo niko darasa la maandalio....kwahiyo mie hata usajili sijaliwa ..upo? Kwahyo nimehamia town kule ntabatizwa nanushirika wang utasoma kanisa la mjini
 
Bimkubwa hata asafiri mkoa mmoja lazima aende na hizo docs[emoji3]
Ukweli ni kwamba, hakuna msabato ambae ana ushirika hai kanisani anaepata shida popote aendako duniani kote! Ili mradi uwe umesafiri kimkakati. Barua yako ikuelezee wewe ni nani, na huko unakoenda unaenda kufanya nini, kwa muda gani! Hata uende marekani watakusaidia utakula, utakunywa, utalala, kwa kipindi chote kilichoanishwa kwenye barua. Na ukiondoka utaagwa na zawadi utapewa na salamu nyingi utaagizwa. Kiukweli tumebarikia sana![emoji56][emoji56][emoji56]
 
Hapo nimeelewa. Maana yake wewe bado haujawa msabato hai. Hivyo usilaumu.
Ubarikiwe.
 
System yenu safi sana......

Sema vidhibiti vingi
 
Kkkkkkkk utabatizwa mara ya pili baada ya kuasi! Wewe ni MUASI kama wale vijana 854 wa JKT.[emoji3]
 
Iko hivi...kanisa kubwa liko kihonda..so area ya huku hakukua na kanisa .watu walikua wanasali kwa mtu tu tukachanga tukanunua kiwanja na kujenga kanisa.... tukajimega kule tukapata unafuuu kusali karibu .
2.march kulikua na semina dar ..ilikua inafanyikia hapo mbezi kwa msuguri ..mchungaj akateua muinjilist mmoja akawakilishe..sasa kasheshw likaanza katika kumchangia muinjilist kuanzia kula,malazi ..naandika haya nikuwa na akili timamu .hakukua na hela iliyotoka mfuko wowote ule .mhona mara kibao tu tunachangishwa hizo mambo?
Silitukani kanisa..naona unahemkwa mbarikiwa..naandika ninachojua ....usijifanye ww shemasi wa dunia
 
Shemasi wa dunia noma sana anakamata wasabato feki mtandaoni[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…