Naomba hifadhi Dodoma

Hapana,kipindi hicho nilikuwa Dodoma, ninaishi miji hii miwili kwa wakati mmoja,naweza kuwa Moro miezi miwili, mitatu Dom.ndio aina ya maisha nayoishi.
Sawasawa...yeah hata mm naishi geita na hapa
 

Ungekuwa umetumia "R" badala ya "L" ungekuwa umekomelea kabisa.

MALANATHA => MARANATHA

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Hatufokeani dada yangu ktk kristo, naribu kukuelewesha, ni huyali yako kuelewa or not!
Kiuhalisia wewe bado unaonesha misingi ya ki Adventist haujaijua vyema.

Tafadhali endelea kujigunza.
 
Hatufokeani dada yangu ktk kristo, naribu kukuelewesha, ni huyali yako kuelewa or not!
Kiuhalisia wewe bado unaonesha misingi ya ki Adventist haujaijua vyema.

Tafadhali endelea kujigunza.
Kwahiyo huyu mchungaji anayesali hapa ni famba?point yako haswa iko wapi? Huamini tunachangishwa michqngo au? Kanisa gan halichangishi michango? Kwaya yenyeww ikienda huko kiegea tunachangishwa au mm ni kiziwi? Kwamba kila kongamano kanisa linakua na hela !! Unajua tuko wangap? Na unavyojua sababto wanaongoz kwa kongamano...au na efforts hairuhusiwi kuchangia?
Misingi hasa ya kuchangia sabato imekaaje?
Au na hata ujenzi utasema kuna mfuko wake? Nimezaliwa usabato tena ule haswa ...so naelewa misingi yake point iko hv ss hv mmeleta usasa sii kama zaman nilivyokua nasali...mgeni anakuja anasimama hakuna hata shemasi anayejigusa amsaidie kupata kiti
 
Yesu Anakuja!!
Unachukulia vitu simple sana kwa vile havijawahi kukutokea, mimi ku display dhehebu haimaanishi kuwa nisaidiwe na wasabatho tu no ila its my proud, ni sawa na wewe kujitambulisha mtanzania nje ya nchi
 
Kwa hiyo Mimi ni Tapeli!!
Hizo nyaraka unazipata kwenye kanisa lako Mama, yaani ulipobatizwa na je kama zinafuatiliwa na nimepiga simu nitumiwe!!
Acheni kuwa negative, dini yetu haiko hivyo
 
Babu Tale, Mwana FA, Zungu, Msukuma, bashiri, mpole mpole na wanachama mboga mboga wakimtelekeza huyu mshirika wao itakuwa si sawa.

Wajameni kutoa ni moyo!
Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…