GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Abiria wanaosafiri kwenda nchi za nje kupitia Uwanja wa Ndege wa Entebbe nchini Uganda wamelalamika vitendo vya wafanyakazi wa Uhamiaji kuwalazimisha watoe hela (chochote kitu) pale wakiwa wanaelekea kupanda ndege hali inayosababisha wengine kuchelewa ndege na wengine kuchelewesha ndege kuanza safari yake kwa wakati.
Taarifa: BBC Swahili
Yaani kabisa GENTAMYCINE nimejichangachanga weeee na huu umasikini wangu na nikapata nauli ya kwenda kubeba maboksi kwa Biden (Marekani) halafu nipo JNIA abiria tunatakiwa kwenda, sasa ndani ya ndege mfanyakazi wa Uhamiaji Tanzania ananizuia kuwa siwezi kuingia ndani ya bung'o (ndege) mpaka nimtoe kwanza na hela?
Na hivi nilivyo na Mkanda Mweusi wa Kung Fu halafu nafundisha ndondi mabondia mbalimbali uswahilini ambao hata Mwakinyo na Mandonga wanawaogopa kupambana nao, ukinizuia tu kama walivyofanyiwa abiria wa Entebbe Airport nchini Uganda jua utayaanza maisha yako rasmi ama ICU Muhimbili au katika friji za wodi namba 26 (mortuary) ya Muhimbili National Hospital. Kudadadeki!
Taarifa: BBC Swahili
Yaani kabisa GENTAMYCINE nimejichangachanga weeee na huu umasikini wangu na nikapata nauli ya kwenda kubeba maboksi kwa Biden (Marekani) halafu nipo JNIA abiria tunatakiwa kwenda, sasa ndani ya ndege mfanyakazi wa Uhamiaji Tanzania ananizuia kuwa siwezi kuingia ndani ya bung'o (ndege) mpaka nimtoe kwanza na hela?
Na hivi nilivyo na Mkanda Mweusi wa Kung Fu halafu nafundisha ndondi mabondia mbalimbali uswahilini ambao hata Mwakinyo na Mandonga wanawaogopa kupambana nao, ukinizuia tu kama walivyofanyiwa abiria wa Entebbe Airport nchini Uganda jua utayaanza maisha yako rasmi ama ICU Muhimbili au katika friji za wodi namba 26 (mortuary) ya Muhimbili National Hospital. Kudadadeki!