Naomba idadi ya bati kulingana na ramani hii

Naomba idadi ya bati kulingana na ramani hii

Mapondo Mapoka

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2015
Posts
269
Reaction score
121
Naomba idadi ya bati kulingana na ramani hii.


Screenshot_20220221-152542_Adobe Acrobat.jpg


Screenshot_20220221-152520_Adobe Acrobat.jpg


Screenshot_20220221-145700_Adobe Acrobat.jpg
 
Bati walau bando 12
Misumari ya bati pakti 25
Misumari 4" kgs 30
Misumari 5" kgs 35
Mbao 2x2 pcs 270
Mbao 2x4 pcs 290
Kenchi wire pcs 15
Fisher board mbao 28
 
Angalia ramani ya hiyo nyumba na utagundua ina room kama nne za kulala.
Inaonekana ina bafu 2, choo 2, jiko, dining, seating na veranda mbili zilizo changamka
 
Bati walau bando 12
Misumari ya bati pakti 25
Misumari 4" kgs 30
Misumari 5" kgs 35
Mbao 2x2 pcs 270
Mbao 2x4 pcs 290
Kenchi wire pcs 15
Fisher board mbao 28

Unamanisha bati 144,hapana hapa bati hazitazidi 110 na hata mbao bado ni nyingi ,ni vyema mtoa mada ukatafuta fundi akufanyie vipimo akupe estimation
 
Unamanisha bati 144,hapana hapa bati hazitazidi 110 na hata mbao bado ni nyingi ,ni vyema mtoa mada ukatafuta fundi akufanyie vipimo akupe estimation
Kwani bando 12 ni bati ngapi? Maana nijuavyo, idadi ya bati kwenye bando inategemea na geji ya bati... Geji 30, bando lina bati 16. Geji 28, bando lina bati 12
 
Angalia ramani ya hiyo nyumba na utagundua ina room kama nne za kulala.
Inaonekana ina bafu 2, choo 2, jiko, dining, seating na veranda mbili zilizo changamka

Kinachoangaliwa ni nyumba ina room nne au ukubwa wa hivyo vyumba ? nyumba inaweza kua na room nne na bado ikawa ndogo hii haijazidi hata sqm 160 watu wanapaua 16 by 14 kwa bati 107 itakua hii ya wastan
 
Kinachoangaliwa ni nyumba ina room nne au ukubwa wa hivyo vyumba ? nyumba inaweza kua na room nne na bado ikawa ndogo hii haijazidi hata sqm 160 watu wanapaua 16 by 14 kwa bati 107 itakua hii ya wastan

Hiyo nyumba itachukua bati pc around 110 aitazidi hapo! Estmate zako zipo sawa
 
Kutoka kwenye ramani built area ni 106.6sqm
Kwa mtazamo wa paa ilivyo nyanyuka naipa 1.4 badala ya 1.3 (usiulize hii nini wewe meza kama ilivyo)
Eneo la kupaua = 106.6sqm X 1.4= 149.24sqm
Vipimo vya bati:
urefu 300cm = 3m - 0.15m(overlapping japo sikumbuki vzr kipimo) = 2.85m
upana 75cm = 0.75m-0.1m(overlapping japo sikumbuki vzr kipimo) = 0.65m
Kwahiyo eneo la bati letu baada ya adjustment ya vipimo = 2.85m X 0.65m =1.8525sqm
Sasa idadi ya mabati inayotakiwa kupaua nyumba yetu ni;
= 149.24sqm/1.8525sqm =81pcs
Hii ni fomula ambayo inakupa angalau makadirio au mwanga wa nini kinaendelea kwnye idadi ya mabati yanayohitajika kuezeka nyumba yako
Saasa saaa ya kwenda kwetu kwaheri mwl kwaheri tutaonana KESHOOOOOOO!! I remeber it was a very nice song especially for those whom mathematics was a night mare!!!!!😀😀😀😀😀
 
Bati walau bando 12
Misumari ya bati pakti 25
Misumari 4" kgs 30
Misumari 5" kgs 35
Mbao 2x2 pcs 270
Mbao 2x4 pcs 290
Kenchi wire pcs 15
Fisher board mbao 28

Duh.! Mnapenda kutishana sana, na kufanya ujenzi uonekane mgumu.
 
Back
Top Bottom