Naomba jibu la hili

Naomba jibu la hili

uru classic

Senior Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
120
Reaction score
15
Mke wangu ana ujauzito,ameenda hospitali amepimwa kama ilvyoada,amepewa majibu yote,isipokua ya vvu,ameambiwa paka mimi niwepo.je ni sawa yeye kunyimwa majibu paka mimi ni wepo?mimi npo mbali kdogo namuuguza mama,hvyo cjapata mda wa kuambatana nae.
 
sjui kama ni sawa au si sawa sijawah kushika ujauzito ila ndo uwahi kuja mwenzio apewe majibu
 
Back
Top Bottom