Naomba kama kuna mwanaJF anajua formular ya kutengeneza/kuchanganya Broiler, Layers, na Chick Mash

Naomba kama kuna mwanaJF anajua formular ya kutengeneza/kuchanganya Broiler, Layers, na Chick Mash

Joack

Member
Joined
Jul 2, 2012
Posts
31
Reaction score
7
Habari wnana JF,
Naomba kama kuna mwanaJF anajua fomular ya kutengeneza/kuchanganya Broiler, Layers, na Chick Mash anisaidie.


Nitashukuru sana
 
Mdau formular nilikuwa nayo lakini nimekuta kiwango cha vichanganishio kimefutika na nimebaki na majina tu ya vitu vinavyohitajika. Ebu chukua majina haya wakati najitahidi kutafuta kila kitu kinawekwa kiasi gani:
[TABLE="width: 48"]
[TR]
[TD="width: 64, bgcolor: transparent"]Paraza[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Mtama[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Ngano[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Pumba[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Alizeti[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Pamba[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Dagaa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Damu[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]DCP[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Premix[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Chumvi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Lysine[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Methonine[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Mifupa[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Pitia thread ya ufugaji wa kuku wa kisasa kuna wadau wameweka formula kule
 
Back
Top Bottom