Naomba kama kuna yeyote ataweza kuwa na mradi au kazi yoyote ya halali inayohusiana na taaluma yangu

Naomba kama kuna yeyote ataweza kuwa na mradi au kazi yoyote ya halali inayohusiana na taaluma yangu

pombesichai254

New Member
Joined
Sep 3, 2022
Posts
3
Reaction score
1
habari
wakuu ni matumaini yangu ni wazima kwa majina naitwa KELVIN GODFREY
jinsia ni mwanaume wa miaka 25, ni nimhitimu kozi ya kilimo na mifugo (diploma).

Naomba kama kuna yeyote ataweza kuwa na mradi au kazi yoyote ya halali inayohusiana na taaluma yangu naomba wezekunipa ata kama ndo inaanza au ya kuanzisha

UZOEFU WANGU WAKAZI
Nina zaidi ya miaka miwili nimefanya kazi kwenye mashamba ya korosho singida.

Pia nina zaidi ya mwaka na nusu nafanya kazi kwenye ufugaji wa kuku kibiashara ( kuku wa nyama na mayai) na miradi ya nguruwe.

UWEZO WANGU WA KUFANYAKAZI
nina uwezo wa mkubwa na kutosha kufanya kazi kwa vitendo kwa mazingira rafiki

Mawasiliano tafadhari ni DM
 
habari
wakuu ni matumaini yangu ni wazima kwa majina naitwa KELVIN GODFREY
jinsia ni mwanaume wa miaka 25, ni nimhitimu kozi ya kilimo na mifugo (diploma).

Naomba kama kuna yeyote ataweza kuwa na mradi au kazi yoyote ya halali inayohusiana na taaluma yangu naomba wezekunipa ata kama ndo inaanza au ya kuanzisha

UZOEFU WANGU WAKAZI
Nina zaidi ya miaka miwili nimefanya kazi kwenye mashamba ya korosho singida.

Pia nina zaidi ya mwaka na nusu nafanya kazi kwenye ufugaji wa kuku kibiashara ( kuku wa nyama na mayai) na miradi ya nguruwe.

UWEZO WANGU WA KUFANYAKAZI
nina uwezo wa mkubwa na kutosha kufanya kazi kwa vitendo kwa mazingira rafiki

Mawasiliano tafadhari ni DM
Robo tatu heka utanilimia kwa shilingi ngapi?
 
Robo tatu heka utanilimia kwa shilingi ngapi?
20PROFF habari natumai wee mzima kaka robo tatu heka ya zao gani sababu kila zao lina gharama tofauti uko mkoa gani. pia huko wanalimia kwa bei gani je unatumia tractor au plau. em nifafanulie tafadhari mkuu...nakuomba
 
Back
Top Bottom