MtanzaniaMakini
Member
- Oct 20, 2019
- 41
- 55
Ulikuwa kada Gani!?Habari ndugu
Mimi ni mtumishi wa umma
Nimefukuzwa kazi na mwajiri wangu.
Sikuafiki maamuzi kwakuwa nimeonewa nimekataa rufaa Tume.
Najitokeza kwemu kuomba kazi ili niweze kuendesha Familia na kulipa kodi ya nyumba maana napitia magumu, sina biashara yoyote na mtaji ndomana natafuta kazi niweze kujikimu
Polesana omba Mungu akupe moyo wa ujasiri ili uweze kujipambania kipindi hiki kigumu naamini utavuka tu ikiwa utatambua thamani yako na kusudi la Mungu kwako.Habari ndugu,
Mimi ni mtumishi wa umma. Nimefukuzwa kazi na mwajiri wangu. Sikuafiki maamuzi kwakuwa nimeonewa nimekataa rufaa Tume.
Najitokeza kwemu kuomba kazi ili niweze kuendesha Familia na kulipa kodi ya nyumba maana napitia magumu, sina biashara yoyote na mtaji ndomana natafuta kazi niweze kujikimu.
Mpwayungu Village huyoKama ni Mwalimu we danganya tu, kuna bwana akikusikia atakupa stress sana
hahahaha, huyo kazingua mbaya mbovu.Mkuu, utumishi wa umma hadi ukafukuzwa kazi inaelekea umezingua parefu sana.