Naomba kazi ya kujitolea

Naomba kazi ya kujitolea

Kampuni nyingi zina hire watu .

Unachobidi kufanya tengeneza CV nzuri Kama zile za mabeberu.

Then angalia aina ya Kampuni ambayo ungependa kwenda kufanya then watafute hr inbox . kuna ambao watakujibu na ambao hawatakujibu .

Ukiwa job hunter unatumia hiyo mbinu inasaidia kupata Job

Then usiende kujitolea we omba Kazi Kama Kazi.

Maana ukipata kazi majukumu ambayo unafikiria kuyafanya yanaweza kubadilika so usiombe kujitolea omba Kazi au Internship.

Tumia LinkedIn, ukiwacheki hr 20 lazima mmoja atakuita au wawili
Shida linkedln kumchek direct HR ningumu hasa kwa new member kwasababu inbox yake inakua imefungwa au labda kuna namna nyingine yawakucheki?
 
Wakuu habari natafuta nafasi ya kujitolea katika kampuni yoyote au biashara yoyote inayoqeza nipatia uzoefu wa kazi hata kama hawalipi natafuta uzoefu katika fani ya uhasibu.

Nipo temeke dar es salaam na shahada ya uhasibu na teknolojia ya habari.
Nakuombea
 
tangazo.jpeg
tuma maombi mkuu
 
Back
Top Bottom