From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,813
Nyie nao kuachiwa hizo goli 3 mnajiona watabe kweli mpaka kutaka siku ya kupumzika. Hivi kweli Uganda wangekaza mwanzo mwisho unafikiri mngepata ata goli moja.
MGC
Utaagwa we we kabla ya Taifa Stars,timu ya kwanza kuaga AFCON ni tanzania
Nyie nao kuachiwa hizo goli 3 mnajiona watabe kweli mpaka kutaka siku ya kupumzika. Hivi kweli Uganda wangekaza mwanzo mwisho unafikiri mngepata ata goli moja.
MGC
Mechi ya Nyumbani kwao matokeo yalikuwaje? Tuanze na hilo kwanza.Nyie nao kuachiwa hizo goli 3 mnajiona watabe kweli mpaka kutaka siku ya kupumzika. Hivi kweli Uganda wangekaza mwanzo mwisho unafikiri mngepata ata goli moja.
MGC
Mechi ya Nyumbani kwao matokeo yalikuwaje? Tuanze na hilo kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app