From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,813
Kwa sababu leo, bei ya bia ni nusu bei kwa wakaazi wa jiji la Dar es salaam baada ya Taifa Stars kumfunga mwenye bomba la mafuta, basi tunaomba wale tutakaokunywa bia na kushindwa kufika kazini, kesho iwe sikukuu.
Kwa wale ambao tupo Mwanza, tunaomba leo msitoke majumbani. Mkamate mke wako ili ulipize mahali uliyotoa.
Mkuu wa mkoa bro Makonda, tunatanguliza asante kwa sababu kesho ni sikukuu.
Alamsikh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale ambao tupo Mwanza, tunaomba leo msitoke majumbani. Mkamate mke wako ili ulipize mahali uliyotoa.
Mkuu wa mkoa bro Makonda, tunatanguliza asante kwa sababu kesho ni sikukuu.
Alamsikh!
Sent using Jamii Forums mobile app