Mr fantastic_
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 377
- 502
Wakuu Mimi ni kijana mwenye miaka 25 naomba kazi hata ya saidia fundi nipo mkuyuni jijini mwanza
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina fani yoyote, saidia fundi wa ujenzi lakini kibarua chochote nafanyia muhimu kuelekezwa tuKumsaidia fundi wa kazi ipi? Fani Yako ni gani?
Kaanzishe kanisa mwanangu utanikumbuka. Mazwazwa na waliokata tamaa mbona jaro mwanangu?Wakuu Mimi ni kijana mwenye miaka 25 naomba kazi hata ya saidia fundi nipo mkuyuni jijini mwanza
Natanguliza shukrani.
Asante Kwa mchango wako mkuu.nenda dodoma kuna miradi mikubwa inajengwa
AmenMungu akufanyie wepesi mkuu
Mkuu unashangaa miaka 25 kuwa saidia fundi,25yrs huna ramani yoyote unataka kuwa saidia fundi?hata ubodaboda umekushinda?
Mbona maajabu ya Musa haya.
Hili wazo uwa ni zuri ni vile tu yataka moyo, Asante mkuu Kwa mchango wako.Kaanzishe kanisa mwanangu utanikumbuka. Mazwazwa na waliokata tamaa mbona jaro mwanangu?
Usikae ndani na usikate tamaa. Chukua kibeg kidogo weka nguo za kazi (zilizofubaa),tembelea maeneo yoyote ya miji inayoendelea kimakazi hapo Mwanza,usichoke kutembea pia vumilia dharau na njaa nakuambia utapata unachohitaji. Hizo nguo ni za kazi ukishapata tu. MUNGU AKUSAIDIE.Wakuu Mimi ni kijana mwenye miaka 25 naomba kazi hata ya saidia fundi nipo mkuyuni jijini mwanza
Natanguliza shukrani.
Mwalo Gani mkuu kirumba au mswahili?Njoo hapa mwaloni. Kazi zipo nyingi za uvuvi, upakiaji, upakuaji, Uandaaji samaki na dagaa, huduma za jamii n.k
Asante mkuu mchango mzuri.Usikae ndani na usikate tamaa. Chukua kibeg kidogo weka nguo za kazi (zilizofubaa),tembelea maeneo yoyote ya miji inayoendelea kimakazi hapo Mwanza,usichoke kutembea pia vumilia dharau na njaa nakuambia utapata unachohitaji. Hizo nguo ni za kazi ukishapata tu. MUNGU AKUSAIDIE.
NB:HICHO KIBEGI NI KUMDHIHIRISHIA MUNGU KUWA UPO TAYARI NA UNACHOTAFUTA.