Naomba kuelekezwa Hand cap kwenye Mkeka bet

Naomba kuelekezwa Hand cap kwenye Mkeka bet

We masikini acha Chuki
3way handicap, muongeze goli na ashinde au muondolee goli na ashinde , + ongeza goli unachagua wao bookies wanaandika mf +1,+2,+3,+4 - toa goli mf -1,-2,-3,-4; simba na namungo , home team -1 means simba kabla hajacheza tayari umemchomolea goli moja so dakika tisini kashinda 2-1, inabidi watoe 1 ulioitoa ww then mkeka unakua draw ya 1-1 so umechanika, simba inatakiwa ashinde goli kuanzia tatu ili ikitolewa moja abakiwe na mbili, namungo ukimpa away +2; umemuongezea kabla ya mechi,dk tisini simba 2_1 namungo hapo namungo anaongezewa zle goli mbili ulizompa kabla so inakua simba2 namungo 3, so mshindi ni namungo
 
3way handicap, muongeze goli na ashinde au muondolee goli na ashinde , + ongeza goli unachagua wao bookies wanaandika mf +1,+2,+3,+4 - toa goli mf -1,-2,-3,-4; simba na namungo , home team -1 means simba kabla hajacheza tayari umemchomolea goli moja so dakika tisini kashinda 2-1, inabidi watoe 1 ulioitoa ww then mkeka unakua draw ya 1-1 so umechanika, simba inatakiwa ashinde goli kuanzia tatu ili ikitolewa moja abakiwe na mbili, namungo ukimpa away +2; umemuongezea kabla ya mechi,dk tisini simba 2_1 namungo hapo namungo anaongezewa zle goli mbili ulizompa kabla so inakua simba2 namungo 3, so mshindi ni namungo
 
Screenshot_20210101-152529.png
 
Back
Top Bottom