Naomba kuelekezwa jinsi ya kutoa madoa kwenye nguo nyeupe?

Naomba kuelekezwa jinsi ya kutoa madoa kwenye nguo nyeupe?

Hapo inabidi uisamehe tu, hakuna jinsi.
Unaweza tumia dawa za madoa zikaenda kupaharibu kabisaa
Nina shati jeupe you jipya nilivaa kwenye sherehe but mwishoni likaishia kupakwa lipsticks & make up pamoja na kuziloweka zimegoma kutoka na nahofia kutumia dawa za madoa
 
Nina shati jeupe you jipya nilivaa kwenye sherehe but mwishoni likaishia kupakwa lipsticks & make up pamoja na kuziloweka zimegoma kutoka na nahofia kutumia dawa za madoa
Nadhani kwa nguo nyeupe hazina shida kutumia dawa za madoa,

Nguo za rangi ndio zenye utata unaweza ukaweka dawa ya kutoa madoa, ikapausha au rangi ikatoka kabisa.
 
Nadhani kwa nguo nyeupe hazina shida kitumia dawa za madoa,

Nguo za rangi ndio zenye utata unaweza ukaweka dawa ya kutoa madoa, ikapausha au rangi ikatoka kabisa.
Asante. Nitanunua nijaribu
 
Salaam,

Shuka langu Jeupe lilipata bloodstain usiku.. asubuhi nikaliloweka sa SABUNI ya Doffi...nikalifua jioni... Lakini madoa hayajatoka
.
Je nawezaje kutoa hayo madoa..?

Asante

Mkuu tupe mrejesho kama umepata dawa ya madoa na imesaidia?
 
Salaam,

Shuka langu Jeupe lilipata bloodstain usiku.. asubuhi nikaliloweka sa SABUNI ya Doffi...nikalifua jioni... Lakini madoa hayajatoka
.
Je nawezaje kutoa hayo madoa..?

Asante
Kwani "Always" bei gani we bint mpaka uchafue shuka hivyo?
 
Tumia JK, mie mwenyewe natumia shuka nyeupe tyuuh so always sabun nayotumia n JK.
 
Mkuu sina hela ya Always..Unaweza nichangia?...UTAKUWA umenisaidia Sana.
Kukuchangia sio tatzo ila tatzo linakuja nikupe tu hela halafu kuna mtu anapata faida ya uwepo wako ni mwingine
 
Kukuchangia sio tatzo ila tatzo linakuja nikupe tu hela halafu kuna mtu anapata faida ya uwepo wako ni mwingine
Kutoa Na kusaidia unamkopesha mwenyezi Mungu.
 
Back
Top Bottom